Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,203
- 37,906
hyo redio efm 93.9 fm mmiliki wàke n nan???
e.fm inamilikiwa na wanaomiliki MAISHA CLUB
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hyo redio efm 93.9 fm mmiliki wàke n nan???
Mrembo by Nature kasema hajibu mtu..... Heaven on Earth ye kachoka mwili na roho...hadi vidole vimestack kutype...kalala mapemaaaa...
Hii imetokea jana katika tamasha maalum la kituo kipya cha kazi cha Gardner E.FM ambapo Gardner alipanda jukwaani kujitambulisha mashabiki waliokuwepo wakamuuliza shemeji Jaydee yuko wapi? Akawajibu i am single boy now kisha akaomba awekewe nyimbo ya Single boy ya Ali Kiba na kuicheza jukwaani huku akimpandisha jukwaani shabiki wa kike na kumwambia amvue tishet yake kimahaba kuthibitisha usingo boy wake ambapo demu huyo alimvua kwa staili hiyo gardner huku ukumbi ukilipuka kwa shangwe.
Hii imetokea jana katika tamasha maalum la kituo kipya cha kazi cha Gardner E.FM ambapo Gardner alipanda jukwaani kujitambulisha mashabiki waliokuwepo wakamuuliza shemeji Jaydee yuko wapi? Akawajibu i am single boy now kisha akaomba awekewe nyimbo ya Single boy ya Ali Kiba na kuicheza jukwaani huku akimpandisha jukwaani shabiki wa kike na kumwambia amvue tishet yake kimahaba kuthibitisha usingo boy wake ambapo demu huyo alimvua kwa staili hiyo gardner huku ukumbi ukilipuka kwa shangwe.
hana higiza hili hawe hot kwa vyombo vya habar
anaigiza ili awe hot kwenye vyombo vya habari.....!!!!!
e.fm inamilikiwa na wanaomiliki MAISHA CLUB
e.fm inamilikiwa na wanaomiliki MAISHA CLUB
Alichofanya Gardner ni utoto mtupu, nadhani kwa sababu hawana bond ya mtoto ndio maang Gardner amefanya upuuzi.
Strong ties mkiwa na watoto wote ni lazima mtajistahi kuwaogopa na kuwaheshimu watoto.
Lakini Gadner si anaye mtoto? Kwanini asimheshimu mtoto wake? Hivi mtoto tena wa Kike anajisikiaje anapomuona Baba ake akivuliwa shati stageni na malaya? Kwa hili kachemka.
Jamani kumvumilia mwanaume anayechepuka daily tena bila aibu inahitaji moyo sana...hata hivyo jide kavumilia sana kiukweli...
Alipata bahat kaichezea, ataisoma namba mwaka huu maninaa, na macho yake ya makengeza kama mchina
Alichofanya Gardner ni utoto mtupu, nadhani kwa sababu hawana bond ya mtoto ndio maang Gardner amefanya upuuzi.
Strong ties mkiwa na watoto wote ni lazima mtajistahi kuwaogopa na kuwaheshimu watoto.
..........Alichofanya Gardner ni utoto mtupu, nadhani kwa sababu hawana bond ya mtoto ndio maang Gardner amefanya upuuzi.
Strong ties mkiwa na watoto wote ni lazima mtajistahi kuwaogopa na kuwaheshimu watoto.
Kabisa..watoto wanafanya ndoa nyingi zidumu kwa sababu kila mmoja anajitahidi kuilinda heshima yake,kwani ni nani asiyekua na matatizo kwenye ndoa yake?
Watu wanavumilia na maisha yanaenda...ila Gardner anajionesha dhahiri makucha yake sasa...