Gardner amkana jaydee kweupe

Gardner amkana jaydee kweupe

sikupati kwa umbea shougger unawashaje sasa ?? ...bila shaka umetembelea viwanja vyetu vya Masaki eheee! hahahahahaha:smile-big:

Hhhhhhaaaa nna raha mieeeeeee weweeeeeeeee ningekua mnywaji wa biere ningelewaje hiz siku
 
Na kweli utakuja kuozee jela kama ndo hivyo... kwanza Dinazarde keshasema kwamba mtu mali ni yake lakini papuchi ni mali ya umma... kwahiyo hata dushelele nalo ni mali ya umma... ukilitaka la peke yako kanunue dukani kama yapo!!

Unanisingiziaaaa kabisaaa sijawah sema kwa jina la baba na la mamaa
 
Last edited by a moderator:
nimesema sijibu mbulula. alafu wengine nawaheshimu kubishana nao ndo maana naona bora nikae kimya. Kikongweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee pito si umeliona lilivyoshiba? ndo toto la kambo la dayamondi

Najua unatusubiriaa tu zamu yetu ikifika mbona utatunanga hhhhaa nakuaminiaaaa
 
duhh kumbe ulibanikwa.pole mie nilishangaa kimya kile ni warumi huyu huyu au mwingine? na hivi kuna movie ya kikongwe lazima ungetia timu

Halaf acha basi kumuita wifi yangu mi kikongwe wakati ana 26 tu 😀😀😀😀😀😀
 
Last edited by a moderator:
Garder ucdhani umemaliza matatizo na hapo E-fm hautakaa muda mrefu utatoka tuu.
 
Mjinga uyo sasa kufanya hivyo ndio ujanja au? Mamtu mengine kama hayajitambui yeye hajui uko ni kujidharirisha au anatafuta kiki? Yeye angesema tu now yupo single basi sasa hizo mbwembwe za kuvuana nguo ni nini anajiweka sokoni au? Aangalie asije tunzwa na man mwenzake safari hii

Akili ni nywele....
 
Back
Top Bottom