Hivi nyie huwa mnataka wapate matatizo watu Gani? Yani wasio mahandsome wapate matatizo, ila mahandsome wasipate! Hakika Bin adam mngekuwa nyie ndio mnaotoa riziki sijui ingekuwaje!!! Anyway,
Hivi nyie huwa mnataka wapate matatizo watu Gani? Yani wasio mahandsome wapate matatizo, ila mahandsome wasipate! Hakika Bin adam mngekuwa nyie ndio mnaotoa riziki sijui ingekuwaje!!! Anyway,
Inawezekana kabisa iyo...ila bia bana inamfanya mrembo aonekane wa kienyeji flani hatokelezei sexy.
Inawezekana kabisa iyo...ila bia bana inamfanya mrembo aonekane wa kienyeji flani hatokelezei sexy.
Bado hali yake iko vile vile anatia huruma kwelo yule kijana, kweli ujafa ujaumbika, alafu kijana ni Bonge La Handsome, yule ni the Real Definition ya Super Handsome sio kina ommy Dimpoz mpaka warembue machoView attachment 192265
Hadi Jide kakonda... uso hauna furaha kabisa ule, mapenzi haya yanauma jaman....
Hadi Jide kakonda... uso hauna furaha kabisa ule, mapenzi haya yanauma jaman....
nilisomaga mkasa wake, inasikitisha sana, mpaka kesho nashindwa kuelewa kama ilikuwa ni normal incident au ndo mambo yetu dah, ndo vile tena
Yeah hakika kuna tatizo kubwa kati ya G na J
Heaven on Earthkijana mmoja wa Tanga niliwahi kusoma stori yake kwenye page ya Mboni Masimba.. natamani kujua what happened to him,nikadhani waeza kua unamfaham
Nimevisit profile yake nimetaman hadi kulia.. haya maisha safari ndefu
Uyo anayeumia zaid ni jide tuu maana hyo ndiye aliyeoza kwa mwenzio na ndio mwenzake G hana habar anaselebuka tuu na dogodogo
Hivi nyie huwa mnataka wapate matatizo watu Gani? Yani wasio mahandsome wapate matatizo, ila mahandsome wasipate! Hakika Bin adam mngekuwa nyie ndio mnaotoa riziki sijui ingekuwaje!!! Anyway,
Wengi wao hasa warembo wa bongo fleva wana vitambi,yote imetokana na bia,mrembo classic hawezi kunywa bia,halafu wengi wao wanakunywa castle light,Savannah, na seremgeti
yaan hata uwe bandidu namna gani inapofikia swala la mapenzi wote chali
Mie nnaekunya mirinda orange je???
kijana mmoja wa Tanga niliwahi kusoma stori yake kwenye page ya Mboni Masimba.. natamani kujua what happened to him,nikadhani waeza kua unamfaham
Nimevisit profile yake nimetaman hadi kulia.. haya maisha safari ndefu
nnaekunya - nnaekunywa
Mirinda sio mbaya ila kama haupendi vilevi still zipo drinks poa tu mbona.
Mtafute you tube alipost story yake. Mie nililia kwa kweli