Gardner G Habash Abambwa na Dogodogo

Gardner G Habash Abambwa na Dogodogo

Hivi nyie huwa mnataka wapate matatizo watu Gani? Yani wasio mahandsome wapate matatizo, ila mahandsome wasipate! Hakika Bin adam mngekuwa nyie ndio mnaotoa riziki sijui ingekuwaje!!! Anyway,

Hahaha umenchekesha kwaio sura ngumu ndio inabidi zipate matatizo.
 
Hivi nyie huwa mnataka wapate matatizo watu Gani? Yani wasio mahandsome wapate matatizo, ila mahandsome wasipate! Hakika Bin adam mngekuwa nyie ndio mnaotoa riziki sijui ingekuwaje!!! Anyway,

Strong ruler maybe ur missing a point..., hakuna aliesema walio ma handsome wasipate matatizo, bali tulikua tunasifia uumbaji wa Allah,

Hayo matatizo tunafaham na kuelewa humpata yeyote yule..,
ALL IN ALL ni stori yenye kusikitisha mengine tunamwachia Mola
 
Inawezekana kabisa iyo...ila bia bana inamfanya mrembo aonekane wa kienyeji flani hatokelezei sexy.

Wengi wao hasa warembo wa bongo fleva wana vitambi,yote imetokana na bia,mrembo classic hawezi kunywa bia,halafu wengi wao wanakunywa castle light,Savannah, na seremgeti
 
Bado hali yake iko vile vile anatia huruma kwelo yule kijana, kweli ujafa ujaumbika, alafu kijana ni Bonge La Handsome, yule ni the Real Definition ya Super Handsome sio kina ommy Dimpoz mpaka warembue machoView attachment 192265

nilisomaga mkasa wake, inasikitisha sana, mpaka kesho nashindwa kuelewa kama ilikuwa ni normal incident au ndo mambo yetu dah, ndo vile tena
 
Hadi Jide kakonda... uso hauna furaha kabisa ule, mapenzi haya yanauma jaman....

Sana aisee yaani pale anatamani labda itokee G aje ampigie magoti mbele ya iyo kadamnasi amuombe msamaha!! Daaah atajionaje queen...
 
nilisomaga mkasa wake, inasikitisha sana, mpaka kesho nashindwa kuelewa kama ilikuwa ni normal incident au ndo mambo yetu dah, ndo vile tena

Your back.....

Anasema baadae alipata sponsor wakampeleka Germany ila hajawahi kupewa majibu ya uchunguzi hadi kesho kutwa, kabaki tu nyumbani akisubiri miujiza, inasikitisha sana
 
kijana mmoja wa Tanga niliwahi kusoma stori yake kwenye page ya Mboni Masimba.. natamani kujua what happened to him,nikadhani waeza kua unamfaham

Nimevisit profile yake nimetaman hadi kulia.. haya maisha safari ndefu
Heaven on Earth
Daa kweli ina sikitisha!
Nasikia jamaa alikuwa anacheza sana michezo ya kuogelea siku moja wakati ana ruka akagonga kichwa na kudisturb uti wa mgongo! Kwa hiyo akapooza mwili mzima kasoro kichwa na Nina vyosikia ni mwaka wa saba yuko kitandani na Leo ni siku yake ya kuzaliwa!
Correct me if am wrong!
Duu ina sikitisha sana kweli Yatupasa kumshukuru Mungu kila saa!
 

Attachments

  • 1413019793075.jpg
    1413019793075.jpg
    52.9 KB · Views: 569
Last edited by a moderator:
Uyo anayeumia zaid ni jide tuu maana hyo ndiye aliyeoza kwa mwenzio na ndio mwenzake G hana habar anaselebuka tuu na dogodogo

gadner anaserebuka na nini wakat range rover aliyokuwa akipigia misele kwa vimada vyake analo jide? jide kafa kaoza kwa jamaa ila sasa ivi naona kaamua ajipe likizo jamaa ni pasua kichwa sana, japokuwa alikuwa hana ubavu wa kumuacha jide
 
Ruttashobolwa uko sahihi alipata ajali tarehe 6/7/2007 hadi leo ni kama miaka 7 sasa..,

Leo ndio siku yake ya kuzaliwa, anasherehekea akiwa kitandani, hiyo siku yenyewe anasema alikua kachoka na hajisikii kabisa ila marafiki wakamsisitiza akakubali.. akaruka mara ya kwanza fresh ile ya mara ya pili ndio ikawa tabu hadi leo hii
 
Last edited by a moderator:
Hivi nyie huwa mnataka wapate matatizo watu Gani? Yani wasio mahandsome wapate matatizo, ila mahandsome wasipate! Hakika Bin adam mngekuwa nyie ndio mnaotoa riziki sijui ingekuwaje!!! Anyway,

mwenzangu ndo maana kuna msemo husemao acheni mungu aitwe mungu, maana kama matatizo yangekuwa yanaenda kwa kina sie tu akina abdala marundu sijui ingekuwaje, maana apa tu tunayo ya kutosha, ila kwa kuwa sie sura zety ngumu kama t*ko la mpoto basi aaah matatizo yanaonekana kuwa ndio yetu ila wale wenye sura kama viatu vya four angle ndo hawatakiwi kuwa na matatizo, muache mungu aitwe mungu
 
Wengi wao hasa warembo wa bongo fleva wana vitambi,yote imetokana na bia,mrembo classic hawezi kunywa bia,halafu wengi wao wanakunywa castle light,Savannah, na seremgeti

Yeah sawa kabisa nafikiri tatizo ni kutobadili maeneo ya kutembea so hawajiongezi.
 
kijana mmoja wa Tanga niliwahi kusoma stori yake kwenye page ya Mboni Masimba.. natamani kujua what happened to him,nikadhani waeza kua unamfaham

Nimevisit profile yake nimetaman hadi kulia.. haya maisha safari ndefu

Mtafute you tube alipost story yake. Mie nililia kwa kweli
 
Back
Top Bottom