gadner anaserebuka na nini wakat range rover aliyokuwa akipigia misele kwa vimada vyake analo jide? jide kafa kaoza kwa jamaa ila sasa ivi naona kaamua ajipe likizo jamaa ni pasua kichwa sana, japokuwa alikuwa hana ubavu wa kumuacha jide
kama ni ufukwe wa coco basi haingii akilini kwamba anasaliti ndoa na ameshatoa ufafanuzi mujarab
Very sad
Leo nimepitia profile yake ig
Very sad
Nimeona yupo kitandani toka 2007
Baadhi ya picha hizo
Duuu Noma sana kati yao kuna mmoja anaumia sema wanajua kujikaza!
Bado hali yake iko vile vile anatia huruma kwelo yule kijana, kweli ujafa ujaumbika, alafu kijana ni Bonge La Handsome, yule ni the Real Definition ya Super Handsome sio kina ommy Dimpoz mpaka warembue machoView attachment 192265
Demu.mwenyewe mbaya
Hahahaa
Ana nn hyu jamani!
Ni mzuri
Demu.mwenyewe mbaya
Anajiaibisha tu hyu
Hakuna kitu kinaudhi kama unapambana kupata pesa na magari mwenzio anahonga na kutanua na mademu
Tena bora wangekuwa mademu wa mbali bali wakaribu
Aaargh acha jide apumzishe moyo aisee
Duu katika kipindi kigumu cha ndoa yao G hakutakiwa kuonekana anafanya hayo kwenye picha!
Hahaaaaa sikutegemea hii kauli kutoka kwako... umenichekesha sana aisee
anatia huruma, tatizo na yeye alizid bhana kuendekeza uchi, had wapishi na wacheza show pale nyumban lounge ye twende, khaa, ndo vile range yetu na nyumba yetu ya kule masaki ataishia kuviona kwenye dairy ya jide kila jumapil
mwenzangu ndo maana kuna msemo husemao acheni mungu aitwe mungu, maana kama matatizo yangekuwa yanaenda kwa kina sie tu akina abdala marundu sijui ingekuwaje, maana apa tu tunayo ya kutosha, ila kwa kuwa sie sura zety ngumu kama t*ko la mpoto basi aaah matatizo yanaonekana kuwa ndio yetu ila wale wenye sura kama viatu vya four angle ndo hawatakiwi kuwa na matatizo, muache mungu aitwe mungu
anatia huruma, tatizo na yeye alizid bhana kuendekeza uchi, had wapishi na wacheza show pale nyumban lounge ye twende, khaa, ndo vile range yetu na nyumba yetu ya kule masaki ataishia kuviona kwenye dairy ya jide kila jumapil
Halafu G si alishaachana na.mkewe wa kwanza huyu?
Hii inadhihirisha ni tabia yake
Kwa mchunguzi unaona kabisa nini kilimfanya jide akimbie