Gardner G Habash Abambwa na Dogodogo

gadner anaserebuka na nini wakat range rover aliyokuwa akipigia misele kwa vimada vyake analo jide? jide kafa kaoza kwa jamaa ila sasa ivi naona kaamua ajipe likizo jamaa ni pasua kichwa sana, japokuwa alikuwa hana ubavu wa kumuacha jide

Duuu hii couple ilikuwa ni ya mfano inasikitisha kuona wamefikia hatua hii!
 
anatia huruma, tatizo na yeye alizid bhana kuendekeza uchi, had wapishi na wacheza show pale nyumban lounge ye twende, khaa, ndo vile range yetu na nyumba yetu ya kule masaki ataishia kuviona kwenye dairy ya jide kila jumapil

Afadhali umerudi!!!
 

Ha ha ha kweli Mungu ni Mungu tu hafanyagi kitu kama tunavowaza kwa kua ni handsome kila neno litaongewa wenye sura ngumu wala
 
anatia huruma, tatizo na yeye alizid bhana kuendekeza uchi, had wapishi na wacheza show pale nyumban lounge ye twende, khaa, ndo vile range yetu na nyumba yetu ya kule masaki ataishia kuviona kwenye dairy ya jide kila jumapil

Nilimuona bank mikocheni aisee kajichokeaga yani kafubaa sasa mtu ana kufadhili ana muonyeshea tabia chafu hadharani hata ka mimi na kutimua ukichangia hana chochote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…