Gardner G Habash Abambwa na Dogodogo

Gardner G Habash Abambwa na Dogodogo

Kupenda miteremko ndo kumempoza G lakini Jide sio type ya G. Mshkaji Gentleman wa ukweli nashangaa sijui alikua anapelekana wapi na huo mkomao wa kike!!! Dah ama kwel mwanaume ukifulia unakubali kuuza hata utu wako. Jide type zake ni za wazee wenzie kama akina Mguu yule wa Msoma vijijini.

Hahaaa we umenichekesha maana nasikia kuna siku walikua club Gardner akaanza kukodolea wowowo la dada mmoja alikatiza kwenye meza yao Jide akachukua glass ya kinywaji na kumwagia nayo usoni... mahusiano yana kazi jaman
 
Hivi nyie huwa mnataka wapate matatizo watu Gani? Yani wasio mahandsome wapate matatizo, ila mahandsome wasipate! Hakika Bin adam mngekuwa nyie ndio mnaotoa riziki sijui ingekuwaje!!! Anyway,

Kuna watu wanakera sana, basi kama wanaona yeye hastaili kuumwa wabadilishane ili waumwe wao.
 
Mbona dem mwenyewe mzee afadhali hata Jidy, kweli hii dunia ngumu sana!

umepotea kweli team jideeeeee hoyeeeeeeee!...kabaki mjane sijui atafanya nini sasa masikini mana jamaa alikuwa anamsitiri sana nae kuonekana ana mume mume mwenyewe pasua fuvu!eti nae ana mume...si vichekesho vya mjini ivyo!...tulisema siku nyingi huyo bi shost atafute hata baba mjane aliyetulia wale maisha ya nini kujifanya una handsome man ambaye anakutesa na kukudhalilisha kwa kiwango hiki....subilini vituko vyake vingine!
 
Jana sijaona diary ya Lady JD.

Badala yake nimeona kipindi cha Gadna G Habash..


Je Gadna kaizika rasmi Diary ya JD.
 
Hahaaa we umenichekesha maana nasikia kuna siku walikua club Gardner akaanza kukodolea wowowo la dada mmoja alikatiza kwenye meza yao Jide akachukua glass ya kinywaji na kumwagia nayo usoni... mahusiano yana kazi jaman

jide hajiamini kinyago umbo kamna kapigwa pasi ndio maana presha inapanda roho juu
 
jide hajiamini kinyago umbo kamna kapigwa pasi ndio maana presha inapanda roho juu

Kwa nn abaki na uno pasi wakati wajanja tuna dawa za kichina za kuongeza hipps,makalio,manyonyo na kuua kabisa vitumbo kwa bei nafuu?
Kwa mwenye uhitaji nitafute PM au nipigie tu dawa mpaka mlangoni kwako malipo ni baada ya kuona matokeo within 5 days.
Wanawake wengi wa hapa mjini na walioko jf tumewasaidia sana.
 
Kwa nn abaki na uno pasi wakati wajanja tuna dawa za kichina za kuongeza hipps,makalio,manyonyo na kuua kabisa vitumbo kwa bei nafuu?
Kwa mwenye uhitaji nitafute PM au nipigie tu dawa mpaka mlangoni kwako malipo ni baada ya kuona matokeo within 5 days.
Wanawake wengi wa hapa mjini na walioko jf tumewasaidia sana.

hadi tupate ushuhuda kwa hao uliowasaidia.........
maana siku hizi unaweza kutumia hizo dawa unaishia kuumuka ka
nguruwe pori anaesubiri kuchinjwa
 
hadi tupate ushuhuda kwa hao uliowasaidia.........
maana siku hizi unaweza kutumia hizo dawa unaishia kuumuka ka
nguruwe pori anaesubiri kuchinjwa

Si ndo mnataka hivo,lkn kwetu ss unataja size utakayo tunakurekebishia na ni free from dangerous chemicals!
Heaven on hell,wataka mamkubwa?
 
Back
Top Bottom