Gardner G Habash Abambwa na Dogodogo

Hivi Matumbo unafaham stori ya Ahmed Albaity??
Umenifanya niingie google na kusaka habari ya huyu ndugu jamani inasikitisha mno mno. Ameenda mpaka germany lkn it was too late duh sijui mama anaumiaje tu. Mungu amponye kijana wa watu lkn anateseka si mchezo.
 
Umenifanya niingie google na kusaka habari ya huyu ndugu jamani inasikitisha mno mno. Ameenda mpaka germany lkn it was too late duh sijui mama anaumiaje tu. Mungu amponye kijana wa watu lkn anateseka si mchezo.

Amen.........., M/Mungu amponye maana stori yake ni yenye kusikitisha....,
 
Hivi nyie huwa mnataka wapate matatizo watu Gani? Yani wasio mahandsome wapate matatizo, ila mahandsome wasipate! Hakika Bin adam mngekuwa nyie ndio mnaotoa riziki sijui ingekuwaje!!! Anyway,
Nashangaa pia mkuu, naanza kuamini ule usemi wa babu yangu kuwa "wanawake wana gia moja tuu".
 
Niliwahi kuandika Life After Life: Je, Wafu huwaita watu kifoni? Kuna walio hai huamua kuwafuata Wafu? Wapenzi mmoja akitangulia, mwenzake anafuata!
Marafiki waliotangulia, wanazidi kuitana...

View: https://youtube.com/shorts/KMVmvFPjui4?si=G28gCVGn1VUc-JbrRip Gardner G Habash, Kapitain!
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…