Mara kwanza kumuona Gardner ilikuwa miaka ya 90, alikuja Kahama Mining kwenye kampuni ya Tanzoro Diomond Drilling kama Accountant akitokea Mwanza ,akatukuta pale wazee wa drilling rigs.
Alikuwa kijana mtanashati checkibobu, aliletwa pale na mke wa mmiliki wa wa kampuni, alikuwa mcanada Mzee Georgre Graham.
Mara tunaona pilika zake na mke wa bosi zimezidi, kumbe tukaja kujua ni tokea zamani, yule mzee wa canada alikuwa analiwa hela tu na yule demu.
Yule demu alikuwa na mpango wake wa kuleta ndugu zake pale, basi hata hatukudumu, akatutengenezea gozi mpaka tukafukuzwa kazi, lakini nakumbuka Gadner ndio alikuwa mhasibu pale akatuandia cheki nzuri ya kama jiwe na upuuzi.
Ndio ikawa mwisho wa kumuona Gardner, mara nashangaa namuona kwenye TV na kumsikia redioni,
R.I.P