TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

Kuna siku kipindi kile ndiyo wame achana tuu kuna clip moja akiwa stejini akasema hiyo kauli kwamba eti ame mkojolesha sana JIDE.
Dah!! Nili mdharau sana aisee, nilimuona mtu wa ajabu. Watu mme achana achaneni kistaarabu siyo kutoleana siri.

All in all YAMEPITA NA KWA SASA APUMZIKE KWA AMANI.
mtu kama alimzalilisha mwenzake asemwe hata kama kafariki ili tunaobaki tujifunze. Sasa maneno gani hayo alikosea sana. Hii tabia ya mtu akifa wanampamba mimi huwa ninashangaa Sana unafikri ww binadamu Hawa wa kitanzania
 
Mtangazaji Mahiri wa Clouds FM, Gadner G. Habash (50) amefariki Dunia Leo April 20, 2024.

Gadner maarufu kama ‘Captain’ aliejizolea Umaarufu Mkubwa kupitia Kipindi cha Jahazi, alikua amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Jijini Dar es Salaam kutokana na kusumbuliwa na Pressure (Shinikizo la Damu).

Wasafi Media Tunatoa Pole kwa Familia , Clouds Media Group , Ndugu Jamaa na Marafiki . Mungu ailaze Roho yake Mahali Pema Peponi Amein

Wasafi Media

View attachment 2968923

Pia soma
- Mtangazaji Captain G. Habash alazwa JKCI kwa tatizo la Shinikizo la Damu
REST IN PEACE 😭😭
 
Kwenye magari inakuaje mkuu
Point ya jamaa hapo ni kwamba watu tunakosa muamko wa kufanya mazoezi hata yale ya kawaida ya kutembea kutoka hapa kwenda pale kwa sababu ya usafiri kuwa rahisi au mafanikio ya kimaisha ukienda vijijini huko huwezi kukuta mtu anakufa na magonjwa ya moyo ktk umri huo labda kama alizaliwa nao au alirithi.

Yupo mtu leo kijana aged 36 toka ameamka asubuhi mpaka jioni hatembei hatua mia (100) kwa miguu kwa sababu akitoka ndani kwake anaingia kwenye gari yake anaendesha akifika kituo chake cha kazi anapanda ghorofa ya pili anakaa kwenye kiti na computer yake akitoka hapo jioni anapita bar anakula nyama choma na bia zake za kutosha akimaliza anarudi kwake kulala ananenepeana hovyo na hiyo ndiyo ratiba yake mwaka mzima.

Ni mtihani sana
 
Mtangazaji Mahiri wa Clouds FM, Gadner G. Habash (50) amefariki Dunia Leo April 20, 2024.

Gadner maarufu kama ‘Captain’ aliejizolea Umaarufu Mkubwa kupitia Kipindi cha Jahazi, alikua amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Jijini Dar es Salaam kutokana na kusumbuliwa na Pressure (Shinikizo la Damu).

Wasafi Media Tunatoa Pole kwa Familia , Clouds Media Group , Ndugu Jamaa na Marafiki . Mungu ailaze Roho yake Mahali Pema Peponi Amein

Wasafi Media

View attachment 2968923

Pia soma
- Mtangazaji Captain G. Habash alazwa JKCI kwa tatizo la Shinikizo la Damu
Wameupiga mwingi 😊 (Bata batani) pumzika kwa amani G umeumaliza mwendo..

Pole Sanaa malkia Karen kwa kumpoteza baba mzazi..

Pumzika G mbele yako nyuma yako
 
Mtangazaji Mahiri wa Clouds FM, Gadner G. Habash (50) amefariki Dunia Leo April 20, 2024.

Gadner maarufu kama ‘Captain’ aliejizolea Umaarufu Mkubwa kupitia Kipindi cha Jahazi, alikua amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Jijini Dar es Salaam kutokana na kusumbuliwa na Pressure (Shinikizo la Damu).

Wasafi Media Tunatoa Pole kwa Familia , Clouds Media Group , Ndugu Jamaa na Marafiki . Mungu ailaze Roho yake Mahali Pema Peponi Amein

Wasafi Media

View attachment 2968923

Pia soma
- Mtangazaji Captain G. Habash alazwa JKCI kwa tatizo la Shinikizo la Damu
Maskini [emoji22]
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi,Amin.
 
Back
Top Bottom