t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Janabi na mahubiri yake yoote Yale Kuna siku atalamba ardhi! Na hata yeye hajui atakufa kwa lipi!Huyo mlevi na chapombe ulevi umeigharimu afya yake
Endeleeni kunywa na kujishindilia mi bia na miAlcohol kupitiliza kwa makusudi muue figo na maini
Mjifariji kwa kusema Kufa ni kufa
Mnamuona Dr Janabi ni Punguani hajui starehe anapowapa ushauri
Figo zinakufa kwa sababu nyingi sana, wala Sio pombe tu, chumvi kwa mfano inajua figo, Ni nani hatumii chumvi,