Kunywa bia,Viwanda vinawategemea walevi kama nyie kwa uendeshajiJanabi na mahubiri yake yoote Yale Kuna siku atalamba ardhi! Na hata yeye hajui atakufa kwa lipi!
Figo zinakufa kwa sababu nyingi sana, wala Sio pombe tu, chumvi kwa mfano inajua figo, Ni nani hatumii chumvi,
Kuna siku kipindi kile ndiyo wame achana tuu kuna clip moja akiwa stejini akasema hiyo kauli kwamba eti ame mkojolesha sana JIDE.
Dah!! Nili mdharau sana aisee, nilimuona mtu wa ajabu. Watu mme achana achaneni kistaarabu siyo kutoleana siri.
All in all YAMEPITA NA KWA SASA APUMZIKE KWA AMANI.
Nimeielewa hii, tutaijadili baada ya msiba.Ndio wewe ephen_
Amen amen, nawe pia kipenzi cha mama (jina lako lile halisi)...
Ni unafki tu , watanzania kwenye sekta ya unafki hatujambo , yaani tumekuwa wanafki kupitiliza mpka tukazalisha na cheo kabisa cha uchawa.mtu kama alimzalilisha mwenzake asemwe hata kama kafariki ili tunaobaki tujifunze. Sasa maneno gani hayo alikosea sana. Hii tabia ya mtu akifa wanampamba mimi huwa ninashangaa Sana unafikri ww binadamu Hawa wa kitanzania
Nimeielewa hii, tutaijadili baada ya msiba.
Kila kitu ktk maisha ya Binadamu hupaswa kufanywa kwa kiasi, kiujumla ukizidisha au ukipunguza hugharimu matokeo hasi. In Human beings life everything is supposed to be done by average scale, the way you maximize or minimize it totally incurrs negative outcomes.Ongeza nyama maelezo hayatoshi haya
Sijawahi kutia kilevi chochote mdomomi mwangu, haimaanishi pia kuwa nina Figo nzima!!Kunywa bia,Viwanda vinawategemea walevi kama nyie kwa uendeshaji
Dadeki
Mkuu nashukuru Kwa busara zakoTunaoijua vyema hiyo Ofisi yao na kinachowakumba hasa tokea wakiwa kule Kitega Uchumi wala hatushangazwi na Vifo vya hawa Watajwa wako watatu. Tujitahidi sana Kuutumia huu Umaarufu wetu vizuri na ikiwezekana Watu wajitahidi Kuukataa kwani una Athari zake nyingi sana.
Ngoja nitafute nyimbo za Wakongo hasa zile ambazo Gitaa la Solo limepigwa na Mwamba Dally Kimoko niburudike zangu.
Hata hivi bado alikosea Sana . Huwezi kumwambia mwanamke mwenye familia na watu nyuma yake wakmtegemea maneno machafu kama hayo mbele ya kamera. Ni udhalilishaji alipaswa kuomba msamaha.Hakusema kama wewe unavosema
Alisema siwez bishana na Mtoto wa kike niliyekua namkojoza
Sasa si ni kitu kilekile tu?Hakusema kama wewe unavosema
Alisema siwez bishana na Mtoto wa kike niliyekua namkojoza
Hao wanaokunywa misoda, mijuice, mimalta wamenenepeana km maputo, cha muhimu kufata kanuni za afya na sio kujiona mnywa soda ni mjanjaUspo kunywa pombe hautakufa,?? au unataka tufe na Figo nzima ili iweje dada ephen😜
Pole sana familia ya Nahodha G .Habash!Mtangazaji Mahiri wa Clouds FM, Gadner G. Habash (50) amefariki Dunia Leo April 20, 2024.
Gadner maarufu kama ‘Captain’ aliejizolea Umaarufu Mkubwa kupitia Kipindi cha Jahazi, alikua amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Jijini Dar es Salaam kutokana na kusumbuliwa na Pressure (Shinikizo la Damu).
Wasafi Media Tunatoa Pole kwa Familia , Clouds Media Group , Ndugu Jamaa na Marafiki . Mungu ailaze Roho yake Mahali Pema Peponi Amein
Wasafi Media
View attachment 2968923
Pia soma
- Mtangazaji Captain G. Habash alazwa JKCI kwa tatizo la Shinikizo la Damu
Hata usiyekunywa pombe kupitiliza una udhaifu wako utakaokuua.Endeleeni kunywa pombe kupitiliza..!
sema mimi mkuu huwa unafiki siuwezi.Ni unafki tu , watanzania kwenye sekta ya unafki hatujambo , yaani tumekuwa wanafki kupitiliza mpka tukazalisha na cheo kabisa cha uchawa.
Na imeniuma sana mkuu...😢, saizi natokea Tegeta naelekea kwenye msiba mpya..😪Jana umetuambia Owiso wa tajiri wa miaka ya 90 alikuwa classmate wako huyu nae ni classmate wako