TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia


Hakusema kama wewe unavosema

Alisema siwez bishana na Mtoto wa kike niliyekua namkojoza
 
mtu kama alimzalilisha mwenzake asemwe hata kama kafariki ili tunaobaki tujifunze. Sasa maneno gani hayo alikosea sana. Hii tabia ya mtu akifa wanampamba mimi huwa ninashangaa Sana unafikri ww binadamu Hawa wa kitanzania
Ni unafki tu , watanzania kwenye sekta ya unafki hatujambo , yaani tumekuwa wanafki kupitiliza mpka tukazalisha na cheo kabisa cha uchawa.
 
Ongeza nyama maelezo hayatoshi haya
Kila kitu ktk maisha ya Binadamu hupaswa kufanywa kwa kiasi, kiujumla ukizidisha au ukipunguza hugharimu matokeo hasi. In Human beings life everything is supposed to be done by average scale, the way you maximize or minimize it totally incurrs negative outcomes.

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
 
Mkuu nashukuru Kwa busara zako

Mara zote umekuwa mshauri muhimu sana kwenye suala hilo Kwa Vijana na watu maarufu

Mimi pia Kwa kuwa umri wangu, ningekushauri uendelee kuplay safe huko Kwa ndugu yako Mu7

Mwambie bila yeye, yule mdudu aliyeimbwa na Captain John Komba asingeikia kwenye Vyumba vya Wazee wetu Mwaka 1987 🥲🙌
 
Pole sana familia ya Nahodha G .Habash!
 
Mara kwanza kumuona Gardner ilikuwa miaka ya 90, alikuja Kahama Mining kwenye kampuni ya Tanzoro Diomond Drilling kama Accountant akitokea Mwanza ,akatukuta pale wazee wa drilling rigs.
Alikuwa kijana mtanashati checkibobu, aliletwa pale na mke wa mmiliki wa wa kampuni, alikuwa mcanada Mzee Georgre Graham.
Mara tunaona pilika zake na mke wa bosi zimezidi, kumbe tukaja kujua ni tokea zamani, yule mzee wa canada alikuwa analiwa hela tu na yule demu.
Yule demu alikuwa na mpango wake wa kuleta ndugu zake pale, basi hata hatukudumu, akatutengenezea gozi mpaka tukafukuzwa kazi, lakini nakumbuka Gadner ndio alikuwa mhasibu pale akatuandia cheki nzuri ya kama jiwe na upuuzi.
Ndio ikawa mwisho wa kumuona Gardner, mara nashangaa namuona kwenye TV na kumsikia redioni,
R.I.P
 
Ni unafki tu , watanzania kwenye sekta ya unafki hatujambo , yaani tumekuwa wanafki kupitiliza mpka tukazalisha na cheo kabisa cha uchawa.
sema mimi mkuu huwa unafiki siuwezi.
Kuna kipindi alifariki yule msanii wa SOUTH AFRICA Aka kama sikosei sasa washkaji wakawa wanampost RIP sijui gone too young na maneno mengi kibao Halafu post ya mbele anaweka memes ya kuchekesha. sasa nikawa nashangaa hivi mtu kweli kama amekugusa maisha yako unaweza kweli ukafanya huo upuuzi yaani unapost picha ya RIP Halafu hapo hapo tupo tunachat na anacheka ana furaha zote.

HUU NI UKWELI KAMA MTU AJAWAHI KUKUGUSA KATIKA MAISHA YAKO AU SI MTU WAKO WAKARIBU HUWEZI KUUMIA AKIFA HUU NI UKWELI LAKINI HUWA HATUTAKI KUONEKANA WANAFIKI TUNAPOST ILI MRADI NI TRENDI KWAMBA UONEKANE UMEPOST.
kuna msanii hakumpost Ruge kipindi alipofariki watu walimsema sana nikaona Tanzania kweli ni Laaana yaani anaamini ukipost ndio umeumia au ulikuwa unampenda sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…