TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

Hawa wanywa soda wanafki mno babu yangu anakunywa gongo na anamiaka 98 sa hii. Na BP yake inachezea 120/80 mpka 130/ 83.
Na hao hao wanywa soda wanafki life likiwa tight sana kwako huwa unaenda kwao kuwaomba wakupige tafu kifedha, ila hapa huwajui kabisa, hizi fake IDs hizi bhana [emoji848][emoji851]

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
 
Kapiteni ataungana na Kibonde kwenye Safina, ila wanamhitaji hostesi.
Poleni wafiwa.
 
Loh! RIP. This kind of lifestyle is so problematic. Pombe, nyama, magari, starehe, vitakula vichwa vingi sana vya vijana/watu wa

Loh! RIP. This kind of lifestyle is so problematic. Pombe, nyama, magari, starehe, vitakula vichwa vingi sana vya vijana/watu wazima
You are talking as if you are going to live forever. Be humble cos nobody will live forever!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…