Yohimbe bark
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 2,160
- 5,728
Hivi kitimoto na pombe viliwakosea nini mbona vinaandamwa sana?😎Mzee wa kukojoza no more 😭😭😭
R.I.P Captain G Habbash pombe na stress mbaya sana’a
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kitimoto na pombe viliwakosea nini mbona vinaandamwa sana?😎Mzee wa kukojoza no more 😭😭😭
R.I.P Captain G Habbash pombe na stress mbaya sana’a
Asante sana. Nimekuwa nikiisikia sana, nilikuwa sijui maana yakeKwamba kifo kipo mbele yetu kwa sisi ambao bado tupo hai lakini kwa Marehemu kifo tayari kimeshakuwa nyuma yake maana keshafariki na kupita hiyo hatua
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee sio poa😂😂 kama hao warusi ni shida, sisi tunaonja tuu.😁😁😁😁😁,Nchi za wenzetu pombe ni kinywaji cha kawaida kabisa .
Mzee sio poa😂😂 kama hao warusi ni shida, sisi tunaonja tuu.😁😁😁😁😁,Nchi za wenzetu pombe ni kinywaji cha kawaida kabisa .
Kuna kule zambia na Malawi wanaoga na pombe kabisa, kuna pombe moja ya Malawi niliinusa tu nikalewa yani inafungua mpaka mishipa ya ufahamu ndani ya kichwa kwa kuinusa tu.Mzee sio poa😂😂 kama hao warusi ni shida, sisi tunaonja tuu.
Umenikumbusha mkuu. Huu wimbo walikuwa wanauimba sana kwenye kipindi cha Jahazi hao ' Ma-comred in arms' Gardner na KibondeR. I .P CAPTAIN. Msalimie sana FM Kibonde.
In heaven there is no Beer, That why we drinking here. We you go from Here, Your friend we'll drink your Beer.🍺🍺🍺🍻
Nimeupokea ushauri huu kwa mikono miwili mkuu.Wasikutishe kula nyagi zingatia msosi mzuri na maji!! Kila kitu kina madhara ukizidisha
Kufa kupo palepale
🤣🤣 oa nasikia kwa afrika nchi zinazokula kamnyweso zambia na south africa ni balaa wale watu hawanywi bali wanaoga unaambiwa kila siku bar zinajaa inabidi watu wasimame nje wakila mitungi kwenye bonet za magari yao hiyo ni 24/7 sio huku mpaka weekend tuu bar ndio zinajaa.Kuna kule zambia na Malawi wanaoga na pombe kabisa, kuna pombe moja ya Malawi niliinusa tu nikalewa yani inafungua mpaka mishipa ya ufahamu ndani ya kichwa kwa kuinusa tu.
Ww tyuuu hata ukinywa gongo 🤣🤣🤣Hahahaha nakunywa bia apa , corona extra baridi ,karibu sna.
Si unajua Tena Leo ni siku ya wasabato! Halafu,wengine ni wivu wengine pesa ya kula hawana wakiona watu wanapiga ngano wanakosa la kusemaKafa kanumba ,kafa Samuel sedekia,kafa sajuki, kafa Sharon milionea , kafa Sam wa ukweli ila hizi kelele za pombe hatukuzisikia leo kafa mwamba mwenetu kabisa pombe inasagiwa kunguni .
Vina madharaHivi kitimoto na pombe viliwakosea nini mbona vinaandamwa sana?😎
Bongo hawanywi pombe kabisa tatzo letu misosi duni ndio maana unaona mtu anakunywa tu kidgo mabega yanaanza kupanda.🤣🤣 oa nasikia kwa afrika nchi zinazokula kamnyweso zambia na south africa ni balaa wale watu hawanywi bali wanaoga unaambiwa kila siku bar zinajaa inabidi watu wasimame nje wakila mitungi kwenye bonet za magari yao hiyo ni 24/7 sio huku mpaka weekend tuu bar ndio zinajaa.
Kwani kustaafu ni uzee au ni kwa mujibu wa sheria.....???Ana miaka 51 Captain kama sikosei. Alibakisha 9 years astaafu.
Umenikumbusha pande za Moshi Kuna mwamba mmoja alikua anaitwa fipe hili jina tulimuita fipe kwasababu alikua akitukuta bar anasema fipe filewe fikalale alafu mwamba anaosha Benz lake na kreti ya bia🤣🤣🤣 oa nasikia kwa afrika nchi zinazokula kamnyweso zambia na south africa ni balaa wale watu hawanywi bali wanaoga unaambiwa kila siku bar zinajaa inabidi watu wasimame nje wakila mitungi kwenye bonet za magari yao hiyo ni 24/7 sio huku mpaka weekend tuu bar ndio zinajaa.
Yahaya Ile ,ilimuhus yee punguzeni kubuni
Moshi kuna magari ya bia sio watu😅😅Umenikumbusha pande za Moshi Kuna mwamba mmoja alikua anaitwa fipe hili jina tulimuita fipe kwasababu alikua akitukuta bar anasema fipe filewe fikalale alafu mwamba anaosha Benz lake na kreti ya bia🤣
Umeandika kitu cha hisia sana. Kituo chake cha kazi kabla ya clouds ilikuwa ni Mwanza, Mwanza kama sikosei alitokea kwenye duka la vinywaji au CD za muziki. Hii alieleza mwenyewe.Mara kwanza kumuona Gardner ilikuwa miaka ya 90, alikuja Kahama Mining kwenye kampuni ya Tanzoro Diomond Drilling kama Accountant akitokea Mwanza ,akatukuta pale wazee wa drilling rigs.
Alikuwa kijana mtanashati checkibobu, aliletwa pale na mke wa mmiliki wa wa kampuni, alikuwa mcanada Mzee Georgre Graham.
Mara tunaona pilika zake na mke wa bosi zimezidi, kumbe tukaja kujua ni tokea zamani, yule mzee wa canada alikuwa analiwa hela tu na yule demu.
Yule demu alikuwa na mpango wake wa kuleta ndugu zake pale, basi hata hatukudumu, akatutengenezea gozi mpaka tukafukuzwa kazi, lakini nakumbuka Gadner ndio alikuwa mhasibu pale akatuandia cheki nzuri ya kama jiwe na upuuzi.
Ndio ikawa mwisho wa kumuona Gardner, mara nashangaa namuona kwenye TV na kumsikia redioni,
R.I.P
Si ndio mno mtu anakunywa mapombe machafu mabanana miksa visungura Hana kazi ya maana msosi ni ugali dagaa na masupu ya miguu ya ng'ombe,kazi ngumu Hana bima ya afya madeni Kila mahali ngono dailyBongo hawanywi pombe kabisa tatzo letu misosi duni ndio maana unaona mtu anakunywa tu kidgo mabega yanaanza kupanda.