Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
Mwamba alikuwa mtu poa sana, ingekuwa vyema tukienzi mazuri yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaaahaaa umemuwahi jamaa yako da hii koment niliitegemea.R.I.P classmate
Mimi binafsi siku nakufa nitatoa taarifa 🤣🤣🤣Themanini mingi hivyo?
Sema 55/60 ni kusema ule umri wa kustaafu ukifika wengi tutakuwa hoi ile kusogeza tu mguu kuitafuta hatua ya pili tutakuwa hatuwezi.
DuhGeorge bantu ni kijana mdogo sana ila sura na mwili wake umeshaanza kuchoka sijui kwa nn hawajifunzi kuna siku alikesha baa mpaka asubuh akaenda kulala clouds ofisini ili kipindi cha jahazi kikianza wamuamshe na aliona ni kawaida tu.
We Mlevi kwa akili yako yote umeona kusema hivo ni tusi saaaaaaanaTutaheshimiana tu
Tusiokunywa tunaitwa walevi sasa
Umbeya ni janga siku hizi hadi mashogamboga mmekua magwiji
Nimekuelewa sana ,nashangaa wengi wanasingiza pombe,lakini waamesahau pia kuna gita la umeme.Tunaoijua vyema hiyo Ofisi yao na kinachowakumba hasa tokea wakiwa kule Kitega Uchumi wala hatushangazwi na Vifo vya hawa Watajwa wako watatu. Tujitahidi sana Kuutumia huu Umaarufu wetu vizuri na ikiwezekana Watu wajitahidi Kuukataa kwani una Athari zake nyingi sana.
Ngoja nitafute nyimbo za Wakongo hasa zile ambazo Gitaa la Solo limepigwa na Mwamba Dally Kimoko niburudike zangu.
Tulishawaambia waache pombe wanajifanya wazee wa Mjini,wameshakata tamaa hao woteGeorge bantu ni kijana mdogo sana ila sura na mwili wake umeshaanza kuchoka sijui kwa nn hawajifunzi kuna siku alikesha baa mpaka asubuh akaenda kulala clouds ofisini ili kipindi cha jahazi kikianza wamuamshe na aliona ni kawaida tu.
Hapa ndio Jf bhana 😄😁 mastori kama haya huwezi kupata kwenye gazeti la mwananchi 🔥🔥🔥🔥🔥Ana wake wawili,bi mdogo ni dada wa mjini anaitwa Sofia Byanaku,na unaambiwa ni tongoza tongoza mashemeji wa dada wa mjini balaa anaogopa Figo na ini tu Kaswende haogopi yule😁
Hata kugonga hawawezi mpaka wanawake wanavuka Kenya kwenda kupata hudumaMkuu! Wanatumia ila hazina vilevi vya maabara ambao ni full chemical , wachaga wanakunywa pombe zao za asili na wanaishi mpaka miaka 110 na kuendele tena wengi.
Ila hizi za kuletwa na wazungu ni hatari sana...Ukitumia miaka 20 mfululizo jiandae ..
Pale nyumbani lounge kazibua Sana mitaro ya wahudumuHapa ndio Jf bhana 😄😁 mastori kama haya huwezi kupata kwenye gazeti la mwananchi 🔥🔥🔥🔥🔥
Tupunguze kuviwazia vitu visivyowezekanaNi yaleyale maswala ya figo? Maana ndio ugonjwa unaotamba
Duh 😁Pale nyumbani lounge kazibua Sana mitaro ya wahudumu
Upwiru hauna chama, wala cheo, wala elimu.Ana wake wawili,bi mdogo ni dada wa mjini anaitwa Sofia Byanaku,na unaambiwa ni tongoza tongoza mashemeji wa dada wa mjini balaa anaogopa Figo na ini tu Kaswende haogopi yule😁
Hakika mkuu,Kunywa kistaarabu ni muhimu
🤣Pale nyumbani lounge kazibua Sana mitaro ya wahudumu
Athari ya muda mrefu ya pombe ni kuathiri moyo,maini na figoKwani kifo chake kimetokana na kunywa sana pombe?si tunaambiwa ni maradhi ya moyo yamemuondoa?
Daah! Wanywa pombe wanajua kujitetea.Ni kujifariji tu na kujipa uspecial usiokuwepo ila unadhani kifo kinajali basi, chenyewe kinasomba tu siku ikifika. Wanakufa ndege, ngiri, fisi na pombe hawanywi wala hawapandi magari.
Mkuu Acha unafki wanywa soda wana akili gani ya maana?Daah! Wanywa pombe wanajua kujitetea.
R.I.P Gadner