TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

George bantu ni kijana mdogo sana ila sura na mwili wake umeshaanza kuchoka sijui kwa nn hawajifunzi kuna siku alikesha baa mpaka asubuh akaenda kulala clouds ofisini ili kipindi cha jahazi kikianza wamuamshe na aliona ni kawaida tu.
Duh
Hio ofisi sasa inabidi wawe wanapeana counseling
 
Tunaoijua vyema hiyo Ofisi yao na kinachowakumba hasa tokea wakiwa kule Kitega Uchumi wala hatushangazwi na Vifo vya hawa Watajwa wako watatu. Tujitahidi sana Kuutumia huu Umaarufu wetu vizuri na ikiwezekana Watu wajitahidi Kuukataa kwani una Athari zake nyingi sana.

Ngoja nitafute nyimbo za Wakongo hasa zile ambazo Gitaa la Solo limepigwa na Mwamba Dally Kimoko niburudike zangu.
Nimekuelewa sana ,nashangaa wengi wanasingiza pombe,lakini waamesahau pia kuna gita la umeme.
 
George bantu ni kijana mdogo sana ila sura na mwili wake umeshaanza kuchoka sijui kwa nn hawajifunzi kuna siku alikesha baa mpaka asubuh akaenda kulala clouds ofisini ili kipindi cha jahazi kikianza wamuamshe na aliona ni kawaida tu.
Tulishawaambia waache pombe wanajifanya wazee wa Mjini,wameshakata tamaa hao wote

Na watanyooka wasipobadilika
 
Mkuu! Wanatumia ila hazina vilevi vya maabara ambao ni full chemical , wachaga wanakunywa pombe zao za asili na wanaishi mpaka miaka 110 na kuendele tena wengi.

Ila hizi za kuletwa na wazungu ni hatari sana...Ukitumia miaka 20 mfululizo jiandae ..
Hata kugonga hawawezi mpaka wanawake wanavuka Kenya kwenda kupata huduma
 
Kunywa kistaarabu ni muhimu
Hakika mkuu,
Naamini katika kiasi, iwe kula, kunywa na chochote mtu anachofanya, lazima tuwe na kiasi. Hata ngono ikizidi kiasi ni hasara kwa mwili, ukiwa mlafi kuna hatari ya kupata maradhi yasiyoambukiza.

Temperance!!
 
Back
Top Bottom