Mtu anakunywa Kvant na energySiku hizi kuna hizi liqour shops zimegeuka bar, unakuta vijana humo wanakunywa pombe kali kwa kushindana, bado kuna bodaboda wananunua pombe kali kwa kina Mangi mitaani.
Baada ya miaka mitano ijayo tutakuwa na taifa moja la hovyo sana. Bahati mbaya Samia hafanyi kitu kupambana na hii hali sawa na alivyokuwa JK miaka ile.
Taifa la hovyo au la wagonjwa wa kutosha wa figo, BP,kisukari, ini na moyo. Wadau wa Afya wanapiga hela.Siku hizi kuna hizi liqour shops zimegeuka bar, unakuta vijana humo wanakunywa pombe kali kwa kushindana, bado kuna bodaboda wananunua pombe kali kwa kina Mangi mitaani.
Baada ya miaka mitano ijayo tutakuwa na taifa moja la hovyo sana. Bahati mbaya Samia hafanyi kitu kupambana na hii hali sawa na alivyokuwa JK miaka ile.
Umeniwahi boss!Jide,,,,,..akose cha kuimba sasa. Manake amemuimba sana kimafumbo
RIP Gardner
Wazazi wake wote wawili ni wachaga. Mama yake alishatangulia mbele ya haki kama miaka mitatu iliyopita.Baba wa marehemu alikuwa mwarabu? Habash siyo jina la kibantu
🤣🤣🤣🤣Oyaa acheni mambo ya kukera. Jamaa hakuwa Kobaaz.
Kweli, ndoa yake ya kwanza ilikuwa ya kanisani.1. Alimuishi Kristo?
2. Jide ni mtalaka sio mjane
Aisee....🙆😂
Ni humu tu!humu tu!, weka!weka!weka!weka!weka!, mwendo wa Pwah!Pwah!Pwah!Pwah!
So Tuishi Kwa furaha inapobidi!Tuanzishe uzi wa umri, kukumbushana ya miaka ya nyuma. Utakuta ID zingine ziko blank kwa miaka mingi.
Nadhani miaka 30 ijayo tu wengi wetu hatutokuwepo humu.
Vijana wa umri gani?Huko ndio home mkuu napajua vizuri sema sasa ivi kuna wimbi la pombe chafu nyingi vijana wanapotea huko.
Apambane na pombe aitwe islamist!?Siku hizi kuna hizi liqour shops zimegeuka bar, unakuta vijana humo wanakunywa pombe kali kwa kushindana, bado kuna bodaboda wananunua pombe kali kwa kina Mangi mitaani.
Baada ya miaka mitano ijayo tutakuwa na taifa moja la hovyo sana. Bahati mbaya Samia hafanyi kitu kupambana na hii hali sawa na alivyokuwa JK miaka ile.
Double kick na energyMtu anakunywa Kvant na energy
Mama yake alikuwa nesi Bombo hospitaliWazazi wake wote wawili ni wachaga. Mama yake alishatangulia mbele ya haki kama miaka mitatu iliyopita.
Enjoy every moment of your life sweetie.So Tuishi Kwa furaha inapobidi!
Noma sana!R. I .P CAPTAIN. Msalimie sana FM Kibonde.
In heaven there is no Beer, That why we drinking here. We you go from Here, Your friend we'll drink your Beer.[emoji481][emoji481][emoji481][emoji482]