ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Kwa hio hapo ndio umemyamaza?Naomba nichague Kunyamaza ila niendelee tu kusema kuwa Yanga SC Shikamooni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hio hapo ndio umemyamaza?Naomba nichague Kunyamaza ila niendelee tu kusema kuwa Yanga SC Shikamooni.
Endeleeni kunywa pombe kupitiliza..!
Jina langu halisi linaanza na herufi gani niamini kama kweli unanijuaNdio wewe ephen_
Amen amen, nawe pia kipenzi cha mama (jina lako lile halisi)...
Oh asante mkuuHapana ni Peter Msechu
Cocastic mambo vp?RIP G
[emoji24][emoji24][emoji24]
Sawa mkuuNamjua vyedi
Kodi zitapungua mkuu, ungesubiri mwakani japo tupate hela za kugharamia uchaguzi ndio uachaLeo RASMI naacha unywaji wa POMBE [emoji122] R.I.P
Kuna watu wamepata ulemavu wa kudumu kwa ajili ya pombe lakini hawaachiMatatizo Kama Alcoholic Au Ulevi ukiingia huko sio rahisi kutoka Kama unavyodhani .
Kama unaacha niachie Mimi mkuu!Leo RASMI naacha unywaji wa POMBE [emoji122] R.I.P
I think Ni baada ya Ile Nyimbo ya Yahya na NdindindiIla mpaka anafikia kuongea hivyo alikuwa ammeshiasimangwa sana na yule bibie
Janabi alikataa unywaji wa juice hovyo. Anasema isitumike jabla hujalaBora unywe juice tu mkuu
Kuna watu wamepata ulemavu wa kudumu kwa ajili ya pombe lakini hawaachi
Jina langu halisi linaanza na herufi gani niamini kama kweli unanijua
Basi msile kabisa mkuu😁Janabi alikataa unywaji wa juice hovyo. Anasema isitumike jabla hujala
Nimeunga mkono hoja yako kwamba kuna mambo siyo rahisi kuyaachaTatizo nadhani umeona lilipo nimeelezea hapo
mkuu unataka kuishi milele?Leo RASMI naacha unywaji wa POMBE [emoji122] R.I.P
Arehemu hasemwi Kwa ubayaEndeleeni kunywa pombe kupitiliza..!