Manyanda X
Member
- Apr 18, 2024
- 16
- 20
Daaaah🙌🙌🙌Kunywa kupitiliza unamaanisha kunywa mpaka chupa ama?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaaah🙌🙌🙌Kunywa kupitiliza unamaanisha kunywa mpaka chupa ama?
Uache ili iwejePunguza taratibu vigumu sana kuacha ulevi kwa haraka.
Ana wake wawili,bi mdogo ni dada wa mjini anaitwa Sofia Byanaku,na unaambiwa ni tongoza tongoza mashemeji wa dada wa mjini balaa anaogopa Figo na ini tu Kaswende haogopi yule😁Hivi Janab ana mke? Kwa mwili ule anaweza hata kupiga mashine round 3 yule? Hizi nyumba zina siri sana
Pombe inaongeza joto mwilini, inaongeza presha, inaua mafigo na maini.Uache ili iweje
Janabi hatokufa??Huyo mlevi na chapombe ulevi umeigharimu afya yake
Endeleeni kunywa na kujishindilia mi bia na miAlcohol kupitiliza kwa makusudi muue figo na maini
Mjifariji kwa kusema Kufa ni kufa
Mnamuona Dr Janabi ni Punguani hajui starehe anapowapa ushauri
Nasikia na plisner haina sukari ila mimi imenishinda, naona kama iko chini ya viwango vyangu binafsi.Kula vitu mkuu sengeti ipo poa sana haina sukari sana.
Mwenye bar anataka mauzo makubwa apate Faida hiyo haitawezekanaInabidi waweke sheria kwenye bar mtu asiuzie zaidi ya kiasi fulani maana nguvu kazi inapotea.
Yupi ni tongoza tongoza Sofia au prof? Sofia nampata ndio anasimamila ile Hosp ya Janabi ya Dr Plaza pale morroco dsmAna wake wawili,bi mdogo ni dada wa mjini anaitwa Sofia Byanaku,na unaambiwa ni tongoza tongoza mashemeji wa dada wa mjini balaa anaogopa Figo na ini tu Kaswende haogopi yule😁
Kama issue ni unywaji bora unywe juice tu , ikipita miaka 80 kutoka sasa hizi I'd humo zitakua zipo tu hazina mwendeshaji iwe kwa wanywa vyoda au sisi wanywa bia.Pombe inaongeza joto mwilini, inaongeza presha, inaua mafigo na maini.
Ukishindwa kuacha kabisa na uwe mnywaji usiwe mlevi.
Huyo baba huyo anayesimanga maini na Figo zetu...na yeye tutaanza kumsimanga nanihiiYupi ni tongoza tongoza Sofia au prof? Sofia nampata ndio anasimamila ile Hosp ya Janabi ya Dr Plaza pale morroco dsm
Jipe moyo ndugu yangu.Kama issue ni unywaji bora unywe juice tu , ikipita miaka 80 kutoka sasa hizi I'd humo zitakua zipo tu hazina mwendeshaji iwe kwa wanywa vyoda au sisi wanywa bia.
Sio wenye bar tu , taifa zima kwa ujumla linapata mapato makubwa sana.Mwenye bar anataka mauzo makubwa apate Faida hiyo haitawezekana
Siyo kila mtu anakunywa juiceKama issue ni unywaji bora unywe juice tu , ikipita miaka 80 kutoka sasa hizi I'd humo zitakua zipo tu hazina mwendeshaji iwe kwa wanywa vyoda au sisi wanywa bia.
Wewe ndio unajipa moyo mimi nabugia tu pombe apa na kesho kutwa naenda kumchangia mlokole mmoja hii figo inayochuja konyagi kila siku .Jipe moyo ndugu yangu.
Si ndio apo sasa😁Siyo kila mtu anakunywa juice
Hajawahi ona kuna watu wanaambiwa wasinywe juice za maxhingwa,nanasi,limbo wasile nyanya kutokana na matatizo ya ulcers na gas tumboni
Ova
Captain GadnaRip, much respects! View attachment 2968946
Nilipata stroke mwaka 2021 kwa sababu ya huo ulevi wa kupitiliza, nilala muhimbili siku tatu na kuanzia hapo ni mwendo wa maji tu na kina Tonic Water, ukiwa bado kijana endelea tu kubugia kilaji, nakutahadharisha tu tukiwa wote ni wanachama wa JF.Wewe ndio unajipa moyo mimi nabugia tu pombe apa na kesho kutwa naenda kumchangia mlokole mmoja hii figo inayochuja konyagi kila siku .