TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

Na wewe kunywa miaka 60....wapo wanaovuta sigara hata miaka 80....ila majority ya wavutaj hufa kwa sigari mfano katika walevi nasema walevi sio wanywaji ...professional walevi 10....... 8 watakufa kwa figo na maini kabla ya kufika miaka 75....... 2 wawili watafika na kuzidi wanatakufa kwa uzee......so ukiangalia number hizi ndo maana tunasema ukiwa mlevi ni hatari sana

Narudia shida sio kufa shida umekufa umri gani...ndo maana kifo cha kijana huwa ni huzuni kubwa kuliko kifo cha mzeee
Kwaiyo we unashauri tunywe Nini tuishi miaka 70?
 
Sasa si ndio,wale walikula vyakula vya asili ambavyo ni kama dawa ya kuondoa sumu ya pombe mwilini na pia walifanya kazi za kutumia sukari mwingi kwenye damu
Sasa saivi unakuta limtu limeagiza kitimoto ugali chipsi limekaa ofisini linabugia bia daily na makachimbari
Sure binafsi natia kambe kila ninapo pata nafasi napiga mazoezi ,tukikutana hata nikisema nakunywa pombe hauwezi kuamini .
 
Na wewe kunywa miaka 60....wapo wanaovuta sigara hata miaka 80....ila majority ya wavutaj hufa kwa sigari mfano katika walevi nasema walevi sio wanywaji ...professional walevi 10....... 8 watakufa kwa figo na maini kabla ya kufika miaka 75....... 2 wawili watafika na kuzidi wanatakufa kwa uzee......so ukiangalia number hizi ndo maana tunasema ukiwa mlevi ni hatari sana

Narudia shida sio kufa shida umekufa umri gani...ndo maana kifo cha kijana huwa ni huzuni kubwa kuliko kifo cha mzeee
Mada nyeti sana hii, tatizo ukiwaambia ukweli wanahisi unawanyanyasa na kuingilia utu wao, hawapendi haya maongezi.
 
Kila mtu anakufa ila binadamu kifo chake sahihi ni 75 kwenda juu death by age .....yaani ufe ukiwa na miaka 75 kwenda juu .....so ukiishi ovyo utakufa kabla ya umri wako ndo madaktar wanashauri kuishi kwa kufuata masharti ili uishi muda mrefu ....

Ila kufa kila mtu atakufa shida unakufa katika umri gani ......raha ya dunia ni kuishi muda mrefu ukiwa na afya tele
Ni kweli kabisa unachokisema ila pombe sio sababu ya kifo tatzo ni nidhamu yako kuielekea pombe ila sio useme tusinywe pombe.
 
Wanalewa kwa sababu ya hali ya hewa ya baridi kali. Wanafika miaka 70-80 haswa wale wenye nidhamu ya maisha.

Ulevi unakwenda pamoja na ukosefu wa nidhamu binafsi.
Unaposema ulevi unalenga mambo mengi sana sio pombe pekee, apo tatzo sio pombe tatzo ni ulevi ata ukiwa mlevi wa simu , mlevi wa wanawake/wanaume, mlevi wa soda , mlevi wa injili( makenzie kenya) vyote huleta shida , apo tatizo sio kunywa pombe tatzo ni tabia zako za tamaa ya pombe kupitiliza uwezo wako.
 
Kuna show Moja Ilikuwa Ya clouds Miaka kidogo nyuma Imepita Baada ya Jide kutoa Ndi ndi ndi..

Gadna akachukua Kipaza akasema nanukuu
"Mwambie huyo Mimi Ni mwanaume Hata hivyo nimeishi Naye miaka Mingi sana Na Nishamkojoza sana Kwahyo wala hanisumbui:"

But all in All Marehemu Hasemwi R.I.E.P Captain 🫡🫡
Alisema hivi sina tatizo na huyo mtoto wa kike,nimemkojoza zaidi ya miaka 15
 
Na wewe kunywa miaka 60....wapo wanaovuta sigara hata miaka 80....ila majority ya wavutaj hufa kwa sigari mfano katika walevi nasema walevi sio wanywaji ...professional walevi 10....... 8 watakufa kwa figo na maini kabla ya kufika miaka 75....... 2 wawili watafika na kuzidi wanatakufa kwa uzee......so ukiangalia number hizi ndo maana tunasema ukiwa mlevi ni hatari sana

Narudia shida sio kufa shida umekufa umri gani...ndo maana kifo cha kijana huwa ni huzuni kubwa kuliko kifo cha mzeee
Kifo hakina uhusiano wowote na umri, kuna vichanga vinakufa hata Dunia yenyewe havijaijua, kuna watoto wanazaliwa na type 1 diabetes,!!
Ukiona unadunda mitaani huku ukiipata umri ni bahati sio uhodari!
 
Humu Msijali kuhusu kufa kwa Figo..
Wengi kwa sababu ni majuha, mtakufa vifo vya aibu na kimaskini kama
Kipigo cha kufumaniwa, kula chakula chenye sumu msibani, Pressure ya Vikoba, kuzidisha Viagra, Magonjwa ya Zinaa na punyeto, kuzama coco Beach

Ukifa kwa pombe labda ulewe ulanzi ulale nje fisi waje wakubebe....

Haina haja ya kufura, Badilika
 
Back
Top Bottom