TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

mchechu ni mwarabu Koko shabiki wa simba fc na mwalishi wa kidedea huyo unaemzungumzia ni peter msechu Kwa taarifa mda huu wako wanafanya mixing kuongeza vionjo kwenye nyimbo ya kumuaga ndugu yetu .
"Muchacho" siyo "Mchechu"
 
Tunawaambia hakikisha angalau Kwa wiki unafanya mazoez Kwa siku tatu .

Punguza Pombe na Sigara au acheni kabisa.

Punguzeni Uzito

Punguzeni matumizi ya Chumvi

Punguzeni unywaji wa maji ulopitiliza

Punguzeni matumizi ya Vyakula vyenye mafuta .

Kua na mazoea ya kucheki shinikizo la Damu angalau Kwa mwezi Mara mbili .

Ukigundulika una tatizo la shikinikizo la juu la Damu, Tumia dawa .

Tatizo hili halitibiw Kwa MITI SHAMBA WALA NA DAWA ZA WAGANGA.

Madhara yakupuuza Matibabu ni..

Kupata matatizo ya Ubongo, Macho, Mapafu, Moyo , Figo, Maini, mishipa ya faham , matatizo ya nguvu za Kiume n.k ......Hapa hujaondoka??.
Carlos The Jackal kufanya mazoezi kwa wiki mara 3 inatosha sana kwa afya ya mwili?
 
We ja
Mtangazaji Mahiri wa Clouds FM, Gadner G. Habash (50) amefariki Dunia Leo April 20, 2024.

Gadner maarufu kama ‘Captain’ aliejizolea Umaarufu Mkubwa kupitia Kipindi cha Jahazi, alikua amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Jijini Dar es Salaam kutokana na kusumbuliwa na Pressure (Shinikizo la Damu).

Wasafi Media Tunatoa Pole kwa Familia , Clouds Media Group , Ndugu Jamaa na Marafiki . Mungu ailaze Roho yake Mahali Pema Peponi Amein

Wasafi Media

View attachment 2968923

Pia soma
- Mtangazaji Captain G. Habash alazwa JKCI kwa tatizo la Shinikizo la Damu
M
Endeleeni kunywa pombe kupitiliza..!
Ngoja nikachukue konyagi ndogo niipige kumuuenzi captain
 
Ana wake wawili,bi mdogo ni dada wa mjini anaitwa Sofia Byanaku,na unaambiwa ni tongoza tongoza mashemeji wa dada wa mjini balaa anaogopa Figo na ini tu Kaswende haogopi yule😁
Nilidhani Sophia ndio mke mkubwa na ni huyo tu.

Profesa mwili wake unaonesha kama hapo sawa sana.
 
Pombe zimeletwa na majahazi wala waafrica hatukuwahi kunywa hizi pombe zao...Tulikuwa na vinywaji vyetu na watu walitoboa mpaka miaka 100.

Hizi pombe ,mtu mpaka anakuwa enthusiast wa pombe wakati mambo ya kuletwa tu na wakoloni.
Mkuu waafrica wap hao wachaga na wasomali toka karne ya kumi na 5 tunapiga ulabu , hyo nazungumzia kutokana na asili yangu kwa baba na mama.
 
Mkuu waafrica wap hao wachaga na wasomali toka karne ya kumi na 5 tunapiga ulabu , hyo nazungumzia kutokana na asili yangu kwa baba na mama.
Mkuu! Wanatumia ila hazina vilevi vya maabara ambao ni full chemical , wachaga wanakunywa pombe zao za asili na wanaishi mpaka miaka 110 na kuendele tena wengi.

Ila hizi za kuletwa na wazungu ni hatari sana...Ukitumia miaka 20 mfululizo jiandae ..
 
Kama issue ni unywaji bora unywe juice tu , ikipita miaka 80 kutoka sasa hizi I'd humo zitakua zipo tu hazina mwendeshaji iwe kwa wanywa vyoda au sisi wanywa bia.
Themanini mingi hivyo?

Sema 55/60 ni kusema ule umri wa kustaafu ukifika wengi tutakuwa hoi ile kusogeza tu mguu kuitafuta hatua ya pili tutakuwa hatuwezi.
 
Back
Top Bottom