Olumolongez
JF-Expert Member
- Dec 19, 2015
- 818
- 299
Hata mm huo msamiati sijauelewa"nimemkojoza" sijaelewa hii Lugha..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mm huo msamiati sijauelewa"nimemkojoza" sijaelewa hii Lugha..
Gadna akiwa Efm nyimbo ya Ndi ndi ndi ilikuwa bado haijatokaInawezekana ni video ya kipindi Gadna akiwa EFM, ni muhimu kujua kama ni kweli kwa sababu katika hali ya kawaida mwanaume kuja na hiyo kauli lazima tujihakikishie kabla hatujatoa maamuzi ya either kumtoa kwenye chama au kubaki.
Hiyo ni kauli dhalilishi kwetu wanaume na kwa wanawake pia.
Kamfikisha kunako"nimemkojoza" sijaelewa hii Lugha..
Sijaelewayaan dume zima ndo linajisifia hvyo!! mwanamke anayemtukana ana achievements kibao kwe maisha yake,pia amekojozwa miaka yote kumi na tano wakat wanawake wengne hawajawah kojozwa hata cku moja, yeye anabaki na uyahaya tu hapa town huyu jamaa bhana amna kitu kabisa
Gadna ameonekana kwenye video akiwa jukwaani akitamka hayo maneno baada ya kuulizwa kama ana ugomvi na aliyekuwa mke wake Lady Jaydee.
"Sina ugomvi na yule mtoto wa kike, nimemkojoza kwa miaka 15 "
Kisha Dj akapiga Ze ndi ndi ndi na Gadna kuanza kucheza kwa mbwembwe zote.
Ninayo video ila sijui jinsi ya kuiweka.
sawaSijaelewa
Gadna akiwa Efm nyimbo ya Ndi ndi ndi ilikuwa bado haijatoka
Kwezisho.Ukitizama upande wa kulia kwenye huu uzi utaona wameandika "Staff Online" click mmjawapo. Tafuta mmojawapo atakupa maelekezo. Lakini humu JF kulikuwa na uzi unaohusu namna ya kufanya vitu kama hivyo.
Kwani Gadina hakuelezea kabisa iwapo Jide anajua kukata viuno? Maana anaoneka ana K kavu sana yule bila mate huingii pale[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji2]
Hapo juu ya huu ukurasa kushoto kuna avator yako na mwisho kulia kuna neno SEND. Natumai umeviona. Katikati ya hivi vitu kuna icons zooote ya kwanza ipo na kitu kama spana, kuna ya pili inahusu kuondoa formating, tatu inahusu bolding, na kuendelea ukiweka kasa juu ya icons itakuelekeza matumizi ya hiyo icon.Kwezisho.
Naomba nisaidie nikitaka kubold au kuweka rangi kwenye neno wakati wa kukoment nafanyaje ? au na yenyewe niwaulize staff online?