Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Tabia ya kupakana kiainaUkibarikiwa kuwa na kipaji cha kuficha ujinga ni jambo la kumshukuru Mungu, sio kila MTU anacho. Hayo maneno yanaonyesha anaugomvi nae.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tabia ya kupakana kiainaUkibarikiwa kuwa na kipaji cha kuficha ujinga ni jambo la kumshukuru Mungu, sio kila MTU anacho. Hayo maneno yanaonyesha anaugomvi nae.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Maneno ya kama alikuwa anamkojoza hatuwezi kuyapata kw Gardner Bali kwa Jide sii unajua wanaume wa dar misifa tuu
Tumeshazalisha, sasa hivi tunakojolesha tu wake na mademu zenu wanaokuja huku Tanzania. Kama mtabahatika kurudiana na wake/ mademu Enu, watawaelewesha nini mfanye kuwaridhisha kwa kuwakojolesha.Wanaume wa dar wanamatatizo sana yaani madume ya mikoani yanapata heshima kwa kuzalisha wanawake huko dar dar madume yanajisifu eti kukojolesha huu upuuzi mtaucha lini?
Kibangu unahasira sana na wanaume wa Dar sijui kwanini? Au walikukojolesha nawewe? Maana kila post yk unawasema wanaume wa Dar!Niliandika muda ule kuwaponda wanaume wa Dar ili popote ulipo ujitokeze nakweli umekuja mzimamzimaWanaume wa dar wanamatatizo sana yaani madume ya mikoani yanapata heshima kwa kuzalisha wanawake huko dar dar madume yanajisifu eti kukojolesha huu upuuzi mtaucha lini?
Kamkaterero, yaani chapa mpaka ile kitu inatoa machosi."nimemkojoza" sijaelewa hii Lugha..
Tumeshazalisha, sasa hivi tunakojolesha tu wake na mademu zenu wanaokuja huku Tanzania. Kama mtabahatika kurudiana na wake/ mademu Enu, watawaelewesha nini mfanye kuwaridhisha kwa kuwakojolesha.
Yah uko sahihi mwanaume ambaye amestaarabika na kuishi na mwanamke miaka 15 hawezi tamka maneno hayo hadhalani niushamba na hasira isitoshe anaumia bhado anatamani kuendelea kuwa nae ila ndio hivyo tenaHuu ni ushamba tu na kutostaarabika.
Kibangu unahasira sana na wanaume wa Dar sijui kwanini? Au walikukojolesha nawewe? Maana kila post yk unawasema wanaume wa Dar!Niliandika muda ule kuwaponda wanaume wa Dar ili popote ulipo ujitokeze nakweli umekuja mzimamzima
Mkuu katerero ndio ile unakuwa kama unachapa fimbo?Kamkaterero, yaani chapa mpaka ile kitu inatoa machosi.
chuki na maneno ya mkosaji. Bora waliachana tu maana Kuishi na mwanaume jinga kama hili shidaGadna ameonekana kwenye video akiwa jukwaani akitamka hayo maneno baada ya kuulizwa kama ana ugomvi na aliyekuwa mke wake Lady Jaydee.
"Sina ugomvi na yule mtoto wa kike, nimemkojoza kwa miaka 15 "
Kisha Dj akapiga Ze ndi ndi ndi na Gadna kuanza kucheza kwa mbwembwe zote.
Ninayo video ila sijui jinsi ya kuiweka.
Ndio hiyo, ila nimeandika tu, wanajua wenyewe walikuwa wanakojoleshana vipi!Mkuu katerero ndio ile unakuwa kama unachapa fimbo?
Aiseee.......
Unaongea vitu vingi sana kwa wakati mmoja.........
Nasikia mgumbaMmezalisha wapi? Mbona komandoo analalamoka miaka kumi na tano povu tu mnakojoa?
kahamia clouds baada ya tarehe 1 ila katoka Efm tokea FebruaryAre you sure?
Audio ya Ndi ndi ndi ilikuwa uploaded You Tube tar 20 March 2016, Gadna kahamia Clouds baada ya Tar 1 Apri.