Gardner G. Habash: Sina ugomvi na Jaydee, nimemkojoza miaka 15, Naibu Waziri aingilia kati

Gardner G. Habash: Sina ugomvi na Jaydee, nimemkojoza miaka 15, Naibu Waziri aingilia kati

[emoji23][emoji23] akiongea Jide watu wanashangilia ila Captain karusha lake moja tu watu povu kama wamekunywa Omo,Jide ana tatizo kichwani dawa yake apelekwe kinunda kama Gadna anavyofanya maana recently Jide anamnanga sana jamaa acha na yeye achezee za uso.
Tehetehe

Bora ampotezee Maana anazidi kutukanika
 
Gadna ameonekana kwenye video akiwa jukwaani akitamka hayo maneno baada ya kuulizwa kama ana ugomvi na aliyekuwa mke wake Lady Jaydee.

"Sina ugomvi na yule mtoto wa kike, nimemkojoza kwa miaka 15 "

Kisha Dj akapiga Ze ndi ndi ndi na Gadna kuanza kucheza kwa mbwembwe zote.


Ninayo video ila sijui jinsi ya kuiweka.
Hahahahahahaa eti "nimemkojoza"!,lakini demu naye anayataka,mara mwanaume kama binti..mara yahaya..mara ndi ndi ndi..(aliondoka na cd tu) kwahiyo miaka yote alipokuwa anamsimamia show zake,mpaka akaacha kazi clouds ili aweze kusimamia biashara zake alikuwa anafanya bure..malipo yake ni kukashifiwa na jide?Ameyataka..jide nae sio mtu mzuri sana..
 
Gadna ameonekana kwenye video akiwa jukwaani akitamka hayo maneno baada ya kuulizwa kama ana ugomvi na aliyekuwa mke wake Lady Jaydee.

"Sina ugomvi na yule mtoto wa kike, nimemkojoza kwa miaka 15 "

Kisha Dj akapiga Ze ndi ndi ndi na Gadna kuanza kucheza kwa mbwembwe zote.


Ninayo video ila sijui jinsi ya kuiweka.
Dah! Maneno hayo mbona yana ukakasi kwa kuishi naye muda huo wote si inajulikana tu nini kilikuwa kinafanyika ni lazima kitajwe? Si ndio jukumu la Mario,ujinga mtupu.
 
Gadna ameonekana kwenye video akiwa jukwaani akitamka hayo maneno baada ya kuulizwa kama ana ugomvi na aliyekuwa mke wake Lady Jaydee.

"Sina ugomvi na yule mtoto wa kike, nimemkojoza kwa miaka 15 "

Kisha Dj akapiga Ze ndi ndi ndi na Gadna kuanza kucheza kwa mbwembwe zote.


Ninayo video ila sijui jinsi ya kuiweka.
Pombe mbayaa
 
Kuna demu alitokea dar akaja mkoani akajidai eti hawez kutembea na mwanaume wa mkoani nami nikakomaa naye baadaye aliingia kwenye line,, nilimpiga pumbu hatariii alilia mpaka nikamshika mdomo alinogewa mpaka alipata mimba na kuzaa dume,, aliniambia akiwa dar alikuwa na uhusiano na wanaume tofauti ila hakuwahi kukojoa lkn baadaye niliamin baada ya yeye kuondoka na kurudi dar lkn akitaka mzigo alikuwa anaupandia new force mpaka mkoan
Inawezekana ukimpiga 0713....[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kama gadna alitamka kwenye vyombo vya habari kwa kweli amesomea mno awaombe radhi wanawake amewadharir isha.
 
Ukibarikiwa kuwa na kipaji cha kuficha ujinga ni jambo la kumshukuru Mungu, sio kila MTU anacho. Hayo maneno yanaonyesha anaugomvi nae.
Nilikuwa ninamuon Gadna kama kijana wa kiume shabab kwa kunyamaza kimya wakati Jide akilonga.
Wanaume kwenye shingo zetu tuna 'koromelo' hivyo kwenye matatizo ya mahusiano kama hayo tunapaswa kunyamaa
 
Jukwaa la nini na wandaaji walikuwa kina nani?

Make najua Gadna anafanya kazi clouds, jukwaa lolote la clouds halipigi nyimbo ya Jide
Ilikuwa Miss TIA. Ilifanyikia TDS PARK Chang'ombe.
 
teh teh teh huyu kwel mario maana miaka yote akuna anachofanya zaidi ya kupoteza tu aise
 
Hiyo ni defense mechanism ya kujitetea lakini hakutumia hekima katka kutamka
maana unaweza kujishusha heshima kwa lugha unayotumia
watu wenye akili hukaa kimya tu
 
Back
Top Bottom