Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji779] [emoji779] [emoji779] [emoji779] [emoji779] [emoji15]Sijakuelewa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji779] [emoji779] [emoji779] [emoji779] [emoji779] [emoji15]Sijakuelewa!
Umeandika tu[emoji779] [emoji779] [emoji779] [emoji779] [emoji779] [emoji779]Ndio hiyo, ila nimeandika tu, wanajua wenyewe walikuwa wanakojoleshana vipi!
Tehetehe[emoji23][emoji23] akiongea Jide watu wanashangilia ila Captain karusha lake moja tu watu povu kama wamekunywa Omo,Jide ana tatizo kichwani dawa yake apelekwe kinunda kama Gadna anavyofanya maana recently Jide anamnanga sana jamaa acha na yeye achezee za uso.
Muhuni Tu wa townMwanaume mwenye heshima zake anaweza kuongea huo upuuzi kukojoza manake nini?. Yuko kama hajaenda jando huyu jamaaa sijui Kabila gani vile.
Ngoja ukue utaelewa"nimemkojoza" sijaelewa hii Lugha..
Hahahahahahaa eti "nimemkojoza"!,lakini demu naye anayataka,mara mwanaume kama binti..mara yahaya..mara ndi ndi ndi..(aliondoka na cd tu) kwahiyo miaka yote alipokuwa anamsimamia show zake,mpaka akaacha kazi clouds ili aweze kusimamia biashara zake alikuwa anafanya bure..malipo yake ni kukashifiwa na jide?Ameyataka..jide nae sio mtu mzuri sana..Gadna ameonekana kwenye video akiwa jukwaani akitamka hayo maneno baada ya kuulizwa kama ana ugomvi na aliyekuwa mke wake Lady Jaydee.
"Sina ugomvi na yule mtoto wa kike, nimemkojoza kwa miaka 15 "
Kisha Dj akapiga Ze ndi ndi ndi na Gadna kuanza kucheza kwa mbwembwe zote.
Ninayo video ila sijui jinsi ya kuiweka.
Dah! Maneno hayo mbona yana ukakasi kwa kuishi naye muda huo wote si inajulikana tu nini kilikuwa kinafanyika ni lazima kitajwe? Si ndio jukumu la Mario,ujinga mtupu.Gadna ameonekana kwenye video akiwa jukwaani akitamka hayo maneno baada ya kuulizwa kama ana ugomvi na aliyekuwa mke wake Lady Jaydee.
"Sina ugomvi na yule mtoto wa kike, nimemkojoza kwa miaka 15 "
Kisha Dj akapiga Ze ndi ndi ndi na Gadna kuanza kucheza kwa mbwembwe zote.
Ninayo video ila sijui jinsi ya kuiweka.
Sio utani kuna chuki,walinyamaziana ila kashfa ndio zina anza sasa.Yaan alivo ongea hvo kaonyesha ana ugomvi tena mkubwaa, halaf hajawa mstaarab na kamdharililisha mwenzie
Muwasaidie hao wataishia kubaya,
Lile dongo la kwenye video ya ndindindi kuwa aliondoka hom na CD tu limemuuma haha
Pombe mbayaaGadna ameonekana kwenye video akiwa jukwaani akitamka hayo maneno baada ya kuulizwa kama ana ugomvi na aliyekuwa mke wake Lady Jaydee.
"Sina ugomvi na yule mtoto wa kike, nimemkojoza kwa miaka 15 "
Kisha Dj akapiga Ze ndi ndi ndi na Gadna kuanza kucheza kwa mbwembwe zote.
Ninayo video ila sijui jinsi ya kuiweka.
Na pia inawezekana hata hyo miaka aliyoishi naye hata hajawahi kumkojoza
Waungwana wanasema alikuwa ana jipanga kwani na yeye asha semwa sana etSio utani kuna chuki,walinyamaziana ila kashfa ndio zina anza sasa.
Inawezekana ukimpiga 0713....[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna demu alitokea dar akaja mkoani akajidai eti hawez kutembea na mwanaume wa mkoani nami nikakomaa naye baadaye aliingia kwenye line,, nilimpiga pumbu hatariii alilia mpaka nikamshika mdomo alinogewa mpaka alipata mimba na kuzaa dume,, aliniambia akiwa dar alikuwa na uhusiano na wanaume tofauti ila hakuwahi kukojoa lkn baadaye niliamin baada ya yeye kuondoka na kurudi dar lkn akitaka mzigo alikuwa anaupandia new force mpaka mkoan
Nilikuwa ninamuon Gadna kama kijana wa kiume shabab kwa kunyamaza kimya wakati Jide akilonga.Ukibarikiwa kuwa na kipaji cha kuficha ujinga ni jambo la kumshukuru Mungu, sio kila MTU anacho. Hayo maneno yanaonyesha anaugomvi nae.
Ilikuwa Miss TIA. Ilifanyikia TDS PARK Chang'ombe.Jukwaa la nini na wandaaji walikuwa kina nani?
Make najua Gadna anafanya kazi clouds, jukwaa lolote la clouds halipigi nyimbo ya Jide
Mkuu maana yake walipokua kwenye ndoa G alikua anamtoa Jide nje kukojoa wakati wa usiku."nimemkojoza" sijaelewa hii Lugha..