mr gentleman
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,222
- 4,689
- Thread starter
- #141
Hahahahahah hiyo ndio heshima ya ndoa mkuu.. Mkiingia kwenye ndoa mtaelewa vijana.. Usione baba yako anaandaliwa chakula maalum ukafikiri anapendelewa kazi anayoenda kufanya ni kubwa. Kukojoza ni zoezi gumu.Naomba tafsiri iliyo KUNTU kabisa ya neno " amemkojoza " kwani binafsi nimetokea kulipenda ila sijajua tu maana yake.