Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa afanye tu mchakato kurudi si dhambiBado anampenda.
kweli waTz ni wanafki,yule mbunge kasema wabunge wa viti maalum wanaitwa baby ili wapate ubunge watu wamekaa kimya awajasema ni udhalilishaji,ila uyu kasema kamkojoza jidee kwa miaka 15 mnatoa mapovu eti unadhalilishaji.Sijui tulimkosea nini Mungu hadi akatupa hii adhabu ya unafiki
Gadner ni mwanaume atajibizana na mwanamke hadi wapi?Ni kweli kayasema nimeina video, Lakini kumbuka tangu waachane Jd kaingea mambo machafu sana juu ya Gadna hakuishia hapo kamtungia wimbo jamaa akawa kimya tu, Tuache double standard kwamba Jide ana haki ya kumsema vibaya Gadna na si Gadna kusema lolote.
Chizi huwa haponi Ze Ndi Ndi Ndiiiii....chuki na maneno ya mkosaji. Bora waliachana tu maana Kuishi na mwanaume jinga kama hili shida
Huko sio kumjibu hicho ni kijembe mkuu, ninachosema hapa ni kwamba kwa muda wote walipoachana Gadna kakaa kimya hakutaka kabisa kuongelea hiyo issue ila JD kasema kwenye media mpaka kamtungia wimbo,Gadner ni mwanaume atajibizana na mwanamke hadi wapi?
Hahaaaaaaa,...nature alitisha ila gadna akae kimya tu akiendelea kuongea nae albamu itamuhusuHuko sio kumjibu hicho ni kijembe mkuu, ninachosema hapa ni kwamba kwa muda wote walipoachana Gadna kakaa kimya hakutaka kabisa kuongelea hiyo issue ila JD kasema kwenye media mpaka kamtungia wimbo,
Kampa kijembe kidogo nae apunguze machungu,
Kumbuka Juma Nature alimtungia album nzima Sinta walipogombana.