Gardner G. Habash: Sina ugomvi na Jaydee, nimemkojoza miaka 15, Naibu Waziri aingilia kati

Watu waliamini Gadner hana lolote, hizi bata za mjini anazokula anabebwa na Jide. Cha ajabu baada ya kuachana Jide ndo ametetereka huku Gadner mambo yake yakizidi kumnyookea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 345970
Siku ya harusi ya Msanii wa Bongo Flava Judith Wambura a.k.a Lady Jay Dee na Mtangazaji wa Clouds FM Gardner G Habash.
Niliwahi kuandika Life After Life: Je, Wafu huwaita watu kifoni? Kuna walio hai huamua kuwafuata Wafu? Wapenzi mmoja akitangulia, mwenzake anafuata!
Marafiki waliotangulia, wanazidi kuitana...

View: https://youtube.com/shorts/KMVmvFPjui4?si=G28gCVGn1VUc-JbrRip Gadner G Habash
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…