Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
That was not necessary,mambo ya ndani ya ndoa kuongelea jukwaani ndio nini!!!! Mfyuuu
Huyu waziri anajidhalilisha. Those are petty issues za akina shigongo. Mambo ya ngoswe mwachie ngoswe mwenyewe. Huku Tandale, wanaume kwa wanawake wanadhalilishana kila kukicha, tena kwa kutumia ngoma na maturembeta. Nani atawasemea hao akina mama wa Tandale wanaodhalilishwa kwenye hiyo mitandao yenu ya twitter, instagram na facebook??? Namshauri Mh.Waziri ajikite zaidi katika kutatua changomoto za vifo kwa akina mama vinavyotokana na uzazi.
Na huyu Kigwangala naye aache kutafuka kiki... juzi mbunge wa ccm mwenzake kawatukana wabunge wanawake wa upinzani kwamba wamepata nafasi zao kwa kuuza uchi hajasema kitu, leo anaibuka kumtetea Jide??
hahaaaaaaaaaaaaaaaaaKumbe Gadner anajua kumkojoza mwanamke? Hongera zake maana wanaume wengi wa Dar hawawezi kumkojoza mwanamke sababu yakula chips mayai na kuku wa kizungu, shame on you wanaume wa Dar
Hapo sasa angekua mkojozaji miaka kumi na tano c mchezo watoto bweleleejamaa kakosea, waliishi sirini na ayaafanye kuwa sirini...coz jide akiibuka hapa tutayajua mengi.....halafu 15yrs ulishindwa kumjaza kibendi....15 yrs ngono tuuuuu,,sorry tendo pendwa la ndoa tuuuu....futa kauli fasta..G..
Kwa maneno yako wewe pia sio mzinzi ni msafi pasi na shaka.Wazinzi hamjifichiii [emoji86] !
Na wewe ndio wale walemi sioni alichomdhalilisha ......
Watakuwa wamekosea sana wakiutoa maana hii story itakuwa kubwa sana wiki mbili hizi.
Unajua komando hawezi kukubali ipite hivi hivi lazima amjibu kwa mtindo wowote.
Who cares?Hii ni Marketing Strategy ya upcoming JD's Show. Gardner ame create drama ili kila mtu now amuongelee JD na kumuonea huruma na ndio hapo watu watataka kujazana kwenye show. Hata kama hawapo pamoja but mkumbuke Gardner hajawahi kujibu vijembe vya JD hata siku moja, kwanini aongee hivyo kipindi hichi? kumbukeni yeye ndio alikua ana market kazi za JD wakati wako wote so mnaona kamdhalilisha ila nina uhakika anajua anachokifanya ana Marketing skills na hii ni moja wapo. Miaka 15 ya ndoa si kidogo hata kama wameachana ila chembechembe za hisia bado wote wanazo. Wakirudiana sijui watu watameza matapishi yao humu ndani au vipi?
Huyo ndo mwanae?