Gardner G. Habash: Sina ugomvi na Jaydee, nimemkojoza miaka 15, Naibu Waziri aingilia kati

Gardner G. Habash: Sina ugomvi na Jaydee, nimemkojoza miaka 15, Naibu Waziri aingilia kati

May 20 pale mlimani city hall ze NDI NDI NDI!!!
 

Attachments

  • 1462858940124.jpg
    1462858940124.jpg
    22.6 KB · Views: 73
Habari wanandugu!
Kutokana maneno aliyo tamka aliyekuwa mme wa mwanamziki Jay dee! ni maneno ya aibu kutamkwa hadharani na mtu mtangazaji ambae anapaswa kuwa kioo kwa jamii! kutokana na udhalishaji huu unaondelea kwa wanawake,naomba achukuliwe sheria kali huyu mtangazaji ili iwe fundisho kwa wanaume kama hawa; kitendo cha kumtamka maneno kama yale hadharani ilikuwa si tu kumdhalilisha mwanamke huyu bali ni kuharibu hata maadili ya watoto wanaohoji neno "kamkojoza" lina maana gani? je ni mambo ya chumban? au kamkojoza akiwa kama dakital kwakuwa alikua mgonjwa asiyekojoa?.nashauri Dawati la jinsia na haki za wanawake na watoto anzeni kwa kumtia adabu huyu mtangazaji! tena kama ikiwezekana afungiwe kuwa mtangazaji hapa nchini, hii haitofautiani sana na video ya snura, kwani ile ilikuwa ni picha sasa ya Gadner ni maneno ya kingono tena yenye kudhalilisha utu kinyume na katiba ya jamhuri inayoheshimu na kulinda utu.
 
Mkuu, kuna uzi ulianzishwa jana kuhusiana na hili. Kajisomee maoni ya wanajamvi. Wapo waliosema jino kwa jino kwani Jide aka Komando na yeye huwa kwa "mipasho hajambo". Mie nasema kuna tabia za kike na za kiume, hilo halina ubishi; sasa mwanamume anapoanza kuleta tabia za kike-kike kidogo inaleta ukakasi. I like my men COOL and COMPOSED; Asprin upo baba??
 
Amuombe msamaha JD,na jamii kwani binadamu hukosea na huenda malezi aliolelewa yeye na Wazee wake vitu kama hivyo alikua anavisikia 24/7 ndio mana hakua hata na kigugumizi alivyokua akiongea,athabu yakumfungia itakua kubwa sana
halafu tuangalie tunaweza tukaongeza idadi ya Omba omba mjini bila sababu...
 
Kwa sababu walikuwa ni wanandoa na mambo ya ndoani ni 'kukojozana' sidhani kama atachukuliwa hatua za kisheria. Labda tu 'aungame' kuwa alisema sehemu isiyo sahihi...
 
Naona hapa jide yupo studio akifanyia mazoezi wimbo wake mpya ambao atajibu hilo dongo.
Wimbo huo ukionyesha mwanaume anaishi kwa mtaji kiuno.
Wimbo ambao utateka soko la muziki kwa majuma kadhaa.
Jide atapambana tu!!
 
Mkuu, kuna uzi ulianzishwa jana kuhusiana na hili. Kajisomee maoni ya wanajamvi. Wapo waliosema jino kwa jino kwani Jide aka Komando na yeye huwa kwa "mipasho hajambo". Mie nasema kuna tabia za kike na za kiume, hilo halina ubishi; sasa mwanamume anapoanza kuleta tabia za kike-kike kidogo inaleta ukakasi. I like my men COOL and COMPOSED; Asprin upo baba??
Sheria ianze na huyu iwe fundisho
 
Habari wanandugu!
Kutokana maneno aliyo tamka aliyekuwa mme wa mwanamziki Jay dee! ni maneno ya aibu kutamkwa hadharani na mtu mtangazaji ambae anapaswa kuwa kioo kwa jamii! kutokana na udhalishaji huu unaondelea kwa wanawake,naomba achukuliwe sheria kali huyu mtangazaji ili iwe fundisho kwa wanaume kama hawa; kitendo cha kumtamka maneno kama yale hadharani ilikuwa si tu kumdhalilisha mwanamke huyu bali ni kuharibu hata maadili ya watoto wanaohoji neno "kamkojoza" lina maana gani? je ni mambo ya chumban? au kamkojoza akiwa kama dakital kwakuwa alikua mgonjwa asiyekojoa?.nashauri Dawati la jinsia na haki za wanawake na watoto anzeni kwa kumtia adabu huyu mtangazaji! tena kama ikiwezekana afungiwe kuwa mtangazaji hapa nchini, hii haitofautiani sana na video ya snura, kwani ile ilikuwa ni picha sasa ya Gadner ni maneno ya kingono tena yenye kudhalilisha utu kinyume na katiba ya jamhuri inayoheshimu na kulinda utu.
Ndugu yangu, nani atamwajibisha? Basata ndio hao tunaowajua!
 
Kwani mbunge wa chama cha ZAMANI kule mjengoni Dodoma alisemaje kuhusu wabunge akinamama wa UKAWA
Wadanganyika kwa porojo hatujambo
 
Kumbe ndio maana aliimba wanaume kama mabinti, na uhakika ilikuwa ni kijembe kwa mshikaji.
 
Bifu la mtu na mtalaka wake linakuhusu nini?
We ndugu? Mshenga?
Wakielewana utaweka wapi uso wako?
Jifunze kutizama mambo kable hujaongea !!
 
Hamna kesi hapo..!!
Tujiulize kwanin Gadner alikuwa kimya muda wote Jd akiongelea mambo yao ya Ndoa na kuachana..?! Kwanin kaamua kumjibu vile kwa sasa...?! (Hasira zilizolimbikizwa).

Huenda kosa analo huyu tunaemtetea kuwa amedhalilishwa, mana angekaa kimya kama mwenzake, huenda haya yote yasinge mkuta ..!!
 
Mwanzo mbaya - mwisho mbaya ... alitoka kwa mkewe ... akaolewa kwa mke mwingine ... sasa amefukuzwa .. lazima yamtoke mapovu ...

Mwanaume imara huwezi kumuacha mke wako ukaenda kulelewa ... bora angechepuka kiaina, aibu isingemkuta
 
Yah uko sahihi mwanaume ambaye amestaarabika na kuishi na mwanamke miaka 15 hawezi tamka maneno hayo hadhalani niushamba na hasira isitoshe anaumia bhado anatamani kuendelea kuwa nae ila ndio hivyo tena

Hahahahahahahahahahaahahaha
Mnajisifia kuzalisha na sio kutunza, wewe endelea kuzalisha utuzidishie watu wakuosha vioo vya magari yetu mjini, wajinga kabisa nyie usikute unazalisha ukijua mdogo wako wa Dar atakusaidia kusomesha watoto wako
 
Back
Top Bottom