Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jide karopoka weeeee!! hamkuona ubaya,naona hili neno litawaonesha kwamba MTU kukaa kimya sio mpumbavu.JD maskini alijua ameolewa na mwanaume kumbe miaka yote aliishi na mvulana. Tena teenager.
unafiki tuuuu umetujaa na kuhukumu watu, hii laana ndo inatutafuna watanzania.
Leo mara mseme mna'miss JK na alivyokuwepo madarakani kutwa hapa mlikuwa mnaponda kati ya thread zote za siku 20% zilikua za kumponda JK.
Back to the topic, I don't support Gadner alichokifanya ila udhalilishaji wa wanawake na wanaume upo. Na wote tunafanya hata humu ndani, kwenye kumbi za starehe, kwenye groups za whatsapp, makazini na hata makanisani.
Mara ngapi tumewashika wanawake bila ridhaa yao. Mara ngapi wanawake wametushika bila ridhaa yetu. Huu ni udhaliishaji pia na wote hapa tunafanya.
Ya ngoswe tumuachie ngoswe hatuwezi jua nini kinaendelea nyuma ya speaker kati ya hawa watu ila kwambali najisikia amani komando kunyooshwa. Alizidiii
[emoji114][emoji114][emoji114]Na pia inawezekana hata hyo miaka aliyoishi naye hata hajawahi kumkojoza
Muda sio mrefu tutapata burudani nyingine mpya baada ndi ndi ndi lakini mnaweza kuwa mzunguka mbuyu tatizo ni kuwa upepo hauwezi vuma halafu bendera ikagoma kupepea Garner kwa sasa clouds wameazima akili yake wakimrudishia ataomba radhiGadner angeendelea kukaa kimya ingekuwa poa sana..Now anazidi kumpa mzuka bidada kuingia studio
[emoji3][emoji3][emoji3]we mkoani??Maneno ya kama alikuwa anamkojoza hatuwezi kuyapata kw Gardner Bali kwa Jide sii unajua wanaume wa dar misifa tuu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji114][emoji114][emoji114]Kibangu unahasira sana na wanaume wa Dar sijui kwanini? Au walikukojolesha nawewe? Maana kila post yk unawasema wanaume wa Dar!Niliandika muda ule kuwaponda wanaume wa Dar ili popote ulipo ujitokeze nakweli umekuja mzimamzima
sio kosa lake muulize kalala junior kuachwaYah uko sahihi mwanaume ambaye amestaarabika na kuishi na mwanamke miaka 15 hawezi tamka maneno hayo hadhalani niushamba na hasira isitoshe anaumia bhado anatamani kuendelea kuwa nae ila ndio hivyo tena
Sawa, safari njema kiongoziPole sana niko safari nikifika nitakuhamisha jinsi ya kufanya