Kinachopi
Kinachopingwa ni udhalilishaji na si chanzo ni niniHamna kesi hapo..!!
Tujiulize kwanin Gadner alikuwa kimya muda wote Jd akiongelea mambo yao ya Ndoa na kuachana..?! Kwanin kaamua kumjibu vile kwa sasa...?! (Hasira zilizolimbikizwa).
Huenda kosa analo huyu tunaemtetea kuwa amedhalilishwa, mana angekaa kimya kama mwenzake, huenda haya yote yasinge mkuta ..!!