Cheapest way of reasoning,YOU WHAT? wewe ushauri wako wa kijinga peleka kule, hizo radio, tv kama ndiyo vinampa mtu akili aisehh basi havijakusaidia zaidi ya kukuongezia degree ya umbeya, kuna vitu mtu vinaweza kukudsaidia ama kukuharibu ila naona wewe vimebomoa hiyo akili, nawasiwasi na elimu yako na kama elimu yako ndiyo ulipata kwenye radio na tv hahaha aisehhh badi vimekupa akili ya kuwa mbeya basi sawa, kwa hiyo radio na tv ndiyo vina kupa msimamo kwenye nini yani kwa mfano, kwenye kujenga hoja?teh teh teh nilikuwa sijuwi kuna watu wa aina yako, Kuna hoja hapa sasa ama unafki na umbeya mara Oh GADNER kaka yangu usikubali sijuwi nini mara huyu GADNER hana hela mshahara wenyewe yani jide ndiyo alikuwa anamueka mjini aisehhh ina kera kuna vijana siku hizi kazi yenu ni umbeya tu, nini unakitafuta kwa huyu Gadner kwa mfano? Una creat attention eh akujuwe unamfuatilia, wadau kibao hapa wameona wewe ni mbeya kujifanya unamjua sana Gadner kwa kumsimanga, unajuwa kuchunguza maisha ya watu sana wakati yako yamekushinda umbeya wa namna hii utakuponza naona una mhemko kupata kick jf.... Kazana