Gardner: Jide kitu gani bana!, huyu ndiye mwendokasi wangu kwa sasa

shukrani mkuu
 
miaka ya nn mtu akishatoa taraka ruksa kuwa na mpenz mwingine kuhusu ndoa ni mipango yao wawil
 
Huyu sijui mchagha wa wapi huyu[emoji16] ,wenzake wanapambana kutafuta pesa yeye huku anashindana na mtalaka wake kwamba bado yupo kwenye kiwango cha kung'oa atakae.utoto huo!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wa kishumundu huyo mkuu
 
Mshkaji anavyokuwa redioni(sijamsikia kwa muda tho), na busara na muonekano wake ni vitu tofauti kabisa yaani. Let alone him being a fcukboy, he's got pretty lame and wack stigity as well. Kweli hupewi vyote.
 
Mshkaji anavyokuwa redioni(sijamsikia kwa muda tho), na busara na muonekano wake ni vitu tofauti kabisa yaani. Let alone him being a fcukboy, he's got pretty lame and wack stigity as well. Kweli hupewi vyote.

...hafanii kabisaa na fix anazofanya, akidanganya kwa kina unaingia kingi ............ Yahya unaishi wapi .

jina lako halisi nani yahya eeee..

[emoji125] [emoji125] [emoji1] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
...hafanii kabisaa na fix anazofanya, akidanganya kwa kina unaingia kingi ............ Yahya unaishi wapi .

jina lako halisi nani yahya eeee..

[emoji125] [emoji125] [emoji1] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
miguu kama fito za Mafagio ya kufagilia bara bara za Mwendo kasi ...mtu mzima kuhangaika kushindana na ulikotoka Kila siku wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…