Gardner wa Clouds adai ndiye mtangazaji anayelipwa mshahara mkubwa kuliko wote hapa Tanzania!

Gardner wa Clouds adai ndiye mtangazaji anayelipwa mshahara mkubwa kuliko wote hapa Tanzania!

Ktk diary ya Jide alipopanda mlima Kilimanjaro walipitia home kwa Gadner G, mzee mmoja alionyesha eneo alipozikwa babake mzazi, maji ya mvua yalikuwa yamesafisha pamebaki peupe, kwakuwa analipwa mshahara mkubwa basis ni muda mzuri wa kwenda kujengea kaburi LA babake.
Gardner mzazi wake alikuwa Hai (baba) au Yule aliyehojiwa Na Millard alikuwa Nani kwKe
 
Back
Top Bottom