miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Kuna yale ma X5 old model hata ya bure sitaki[emoji28][emoji23][emoji23]Kijana wa hovyo hovyo njoo uone BMW ambayo mnaweza weka ligi na land Cruiser 200 series! Sio ule uchafu wa X5 aliokuwa anazungumzia yule boya kule.
Yale ya kiboya yamekaa kizembe sana yani kama matenki.Kuna yale ma X5 old model hata ya bure sitaki[emoji28][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Hahahahah hio ndio BMW hata mie ntaendesha sio ule uchafu wa 2005 uleπππExtrovert mambo yangu hayoo[emoji28][emoji28]
Ila mimi nataka nitakalotoa makaratasi mwenyewe
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Yenyewe hio kifua kidogo hahahah 231HP bado sana kumkuta Twin Turbo V8 wa 268HPMambo kama haya utayakuta ushuani kwetu masaki πππ sema hiyo ni ya diesel
Pambanisha na BMW X5 M performance mzee, sio mnajishindanisha na kinyonge, ili mshinde πππYale ya kiboya yamekaa kizembe sana yani kama matenki.
Na penyewe hio 2014 BMW ni 2.0L diesel in 231HP wakati 1VD-FTV V8 twin Turbo ana 268HP still lazma abow down kwa mwamba VX-R!
Limekongoroka kama body za toyota nini sijui za miaka hiyo. Halina mvuto hata. Hii hata ukaanza kuchola na kusinzia linasense. Siyo lile lori[emoji23][emoji23]Hahahahah hio ndio BMW hata mie ntaendesha sio ule uchafu wa 2005 ule[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha ewaaaa... tunapenda vitu vizurii. Christmas ijayo kitaelewekaYale ya kiboya yamekaa kizembe sana yani kama matenki.
Na penyewe hio 2014 BMW ni 2.0L diesel in 231HP wakati 1VD-FTV V8 twin Turbo ana 268HP still lazma abow down kwa mwamba VX-R!
Eeh Christmas ijayo lazma kieleweke tuπHahaha ewaaaa... tunapenda vitu vizurii. Christmas ijayo kitaeleweka
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
M performance hamna mbongo anaeweza kumiliki wala huwezi kuikuta kwenye highway za bongo huko ambako VX-R anajizolea ushindi! Tupambanishe gari zilizopo tuπ M performance sio fair game.Pambanisha na BMW X5 M performance mzee, sio mnajishindanisha na kinyonge, ili mshinde πππ
Hizi ndio size za wana JF eeh? wapo vizuri sanaHuku jf matajiri magari yetu ni bmw 3-series,c-clas,Audi A4 ambazo bei zake ni kama za IST tu.hayo mambo ya mil 85 hayapo huku.
Pale hotelin penyewe ambapo mda mwingi nakuwepo M performance ipo ile ya blue.. bongo mbona zipo kibao huzioni, tembea ushuani huku ππππM performance hamna mbongo anaeweza kumiliki wala huwezi kuikuta kwenye highway za bongo huko ambako VX-R anajizolea ushindi! Tupambanishe gari zilizopo tuπ
Ile kabandika sticker tuπPale hotelin penyewe ambapo mda mwingi nakuwepo M performance ipo ile ya blue.. bongo mbona zipo kibao huzioni, tembea ushuani huku ππππ
Oya nilengeshe huo uzuri nione reviews hukoKijana wa hovyo hovyo njoo uone BMW ambayo mnaweza weka ligi na land Cruiser 200 series! Sio ule uchafu wa X5 aliokuwa anazungumzia yule boya kule.
Tajiri yule hawezi jitekenya ili acheke πππIle kabandika sticker tuπ
Hio jeuri yakununua matajiri wa jf hamnaπ kumbuka hapo haijala ushuruπHizi ndio size za wana JF eeh? wapo vizuri sanaView attachment 2040464
mwamba si ndio kasema uwezo wa wana JF nikununua kama hizo A4,.. na A4 yenyewe ndio hiyo au unaonaje mkuuHio jeuri yakununua matajiri wa jf hamnaπ kumbuka hapo haijala ushuruπ
Hio A4 nimeiona ila kwa matajiri wa humu kikomo ni 2009 tu! Tutavunja nazi kumtafuta mchawi ila mwenye A4 ya 2019 tunaweza tukasubiri miaka 6 mbeleπππmwamba si ndio kasema uwezo wa wana JF nikununua kama hizo A4,.. na A4 yenyewe ndio hiyo au unaonaje mkuu
Ushuani huku zipo mzee baba πHio A4 nimeiona ila kwa matajiri wa humu kikomo ni 2009 tu! Tutavunja nazi kumtafuta mchawi ila mwenye A4 ya 2019 tunaweza tukasubiri miaka 6 mbeleπππ