Car4Sale Gari aina ya BMW X5 inauzwa

Car4Sale Gari aina ya BMW X5 inauzwa

Kuna yale ma X5 old model hata ya bure sitaki[emoji28][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Yale ya kiboya yamekaa kizembe sana yani kama matenki.

Na penyewe hio 2014 BMW ni 2.0L diesel in 231HP wakati 1VD-FTV V8 twin Turbo ana 268HP still lazma abow down kwa mwamba VX-R!
 
Yale ya kiboya yamekaa kizembe sana yani kama matenki.

Na penyewe hio 2014 BMW ni 2.0L diesel in 231HP wakati 1VD-FTV V8 twin Turbo ana 268HP still lazma abow down kwa mwamba VX-R!
Pambanisha na BMW X5 M performance mzee, sio mnajishindanisha na kinyonge, ili mshinde 😀😀😀
 
Huku jf matajiri magari yetu ni bmw 3-series,c-clas,Audi A4 ambazo bei zake ni kama za IST tu.hayo mambo ya mil 85 hayapo huku.
Hizi ndio size za wana JF eeh? wapo vizuri sana
Screenshot_20211211_132249_com.android.chrome.jpg
 
M performance hamna mbongo anaeweza kumiliki wala huwezi kuikuta kwenye highway za bongo huko ambako VX-R anajizolea ushindi! Tupambanishe gari zilizopo tu😂
Pale hotelin penyewe ambapo mda mwingi nakuwepo M performance ipo ile ya blue.. bongo mbona zipo kibao huzioni, tembea ushuani huku 😂😂😂😂
 
Hio A4 nimeiona ila kwa matajiri wa humu kikomo ni 2009 tu! Tutavunja nazi kumtafuta mchawi ila mwenye A4 ya 2019 tunaweza tukasubiri miaka 6 mbele😂😂😂
Ushuani huku zipo mzee baba 😁
inakuwaje mwamba analinganisha bei ya IST na audi A4.. achukue IST na Audi ya 2015 afanye milingano ya bei
 
Back
Top Bottom