EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
engine ya BEAMS 2000 unaijua mkuu??[emoji119][emoji119][emoji119][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji119][emoji119][emoji119]...town km 10 ka lita kwenye GX 100??
Hata spacio kwa town hupati hizo km..
Mzee baba tunatembea kabisa kama injini ni mbichiDuh wakuu mtaua watu nyinyi! Gx10au 110 ikupe 10km/l mjini?
Ndio maana Passo iko kwa ajili yako.7km per litre kama unatoka mwanza to Dar si unalia kabisa
Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
Unajikuta Mo we unamiliki Benzi niniNdio maana Passo iko kwa ajili yako.
Unaweza kuta hata hiyo passo huna acha kujikwezaNdio maana Passo iko kwa ajili yako.
Passo nitoe wapi mkuu,mimi ni mwendo wa kupiga moja moja a.k.a kutembea kwa miguu nikibahatika saaana nimepata lift ya daladala(baiskeli) wasukuma wanaujua huu usafiri vzr.Unaweza kuta hata hiyo passo huna acha kujikweza
Benz?Wkt hata baiskeli yenyewe sina.Unajikuta Mo we unamiliki Benzi nini
Mafuta ya 150k? Au ulimaanisha 15k?engine ya BEAMS 2000 unaijua mkuu??
mi naishi Kiluvya napiga mishe gerezani na kila siku naenda na kurudi kwa mafuta ya ya 150,000 sa piga hesabu na kuna mizunguko mingine napiga pia hapa mjini
15K KWA SIKUMafuta ya 150k? Au ulimaanisha 15k?
Benz zina shida gani?Unajikuta Mo we unamiliki Benzi nini
Inaonekana MO na watu wa calibre yake ndio wenye uwezo wa kumiliki benz.Benz zina shida gani?
engine ya BEAMS 2000 unaijua mkuu??
mi naishi Kiluvya napiga mishe gerezani na kila siku naenda na kurudi kwa mafuta ya ya 150,000 sa piga hesabu na kuna mizunguko mingine napiga pia hapa mjini
MweziHii tsh 150000 ni kwa mwezi? Siku ngapi katika week?
Niliwahi kutumia Toyota Mark 2 GX 81 yenye Engine ya 1G kavu na 6cylinders,nafahamu balaa lake,ila sio gari la kukaa nalo kwenye mafoleni,inahitaji safari ndefu ndio utalifurahia...Namiliki gari aina ya cresta gx 100 yenye injini ya 1G kavu.
Hii gari wakuuu Mjapani hapa alicheza kama pele gari iko na starehe kama yote wakati unadrive.
Kama ni mzee wa myendoo basi hapa ndiopake.
Uvumilivu wa hizi gari ni wa kiwango cha juu sana.
Safari popote utakapo unafika kwa wakati.
Ushauri wangu vijana wenzangu ambao bado tunaungaunga na life tusiogope CC kabisaaaa mafuta inakula kawaida sanaaaaaa.
Tunakosa vitu vizuri kisa tunatishwa na CC hatimaye tunakimbiliaaa kwenye Vitz, ist na porte
Kwenye wese vipiNiliwahi kutumia Toyota Mark 2 GX 81 yenye Engine ya 1G kavu,nafahamu balaa lake...
Haikuwa mbaya sana...Kwenye wese vipi
Ndio kiwango chake which is maumivu 😅Kweli aisee kuna mshikaji yake inakulaga 7kml
Mzee baba huyu jini unamtembeza kwa ukali namna hio 😅10km/l
NB: Huwa natembea kuanzia 130+
Waache wajichanganye😅 gari hapo ikiwa makini haina kipengele inakupa 7km/l ila plug zimekufa sijui oil imechoka manaake ni unalamba 5km/l huko!Duh wakuu mtaua watu nyinyi! Gx10au 110 ikupe 10km/l mjini?