Gari aina ya Cresta Gx 100

Gari aina ya Cresta Gx 100

[emoji119][emoji119][emoji119][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji119][emoji119][emoji119]...town km 10 ka lita kwenye GX 100??

Hata spacio kwa town hupati hizo km..
engine ya BEAMS 2000 unaijua mkuu??

mi naishi Kiluvya napiga mishe gerezani na kila siku naenda na kurudi kwa mafuta ya ya 150,000 sa piga hesabu na kuna mizunguko mingine napiga pia hapa mjini
 
Namiliki gari aina ya cresta gx 100 yenye injini ya 1G kavu.

Hii gari wakuuu Mjapani hapa alicheza kama pele gari iko na starehe kama yote wakati unadrive.

Kama ni mzee wa myendoo basi hapa ndiopake.

Uvumilivu wa hizi gari ni wa kiwango cha juu sana.

Safari popote utakapo unafika kwa wakati.

Ushauri wangu vijana wenzangu ambao bado tunaungaunga na life tusiogope CC kabisaaaa mafuta inakula kawaida sanaaaaaa.

Tunakosa vitu vizuri kisa tunatishwa na CC hatimaye tunakimbiliaaa kwenye Vitz, ist na porte
Niliwahi kutumia Toyota Mark 2 GX 81 yenye Engine ya 1G kavu na 6cylinders,nafahamu balaa lake,ila sio gari la kukaa nalo kwenye mafoleni,inahitaji safari ndefu ndio utalifurahia...
 
Duh wakuu mtaua watu nyinyi! Gx10au 110 ikupe 10km/l mjini?
Waache wajichanganye😅 gari hapo ikiwa makini haina kipengele inakupa 7km/l ila plug zimekufa sijui oil imechoka manaake ni unalamba 5km/l huko!
 
Back
Top Bottom