Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hahahahah sema si ulifunga mkandanilitulia kimywa nikasema naweza kuwa nimefika mbinguni tayari ππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahah sema si ulifunga mkandanilitulia kimywa nikasema naweza kuwa nimefika mbinguni tayari ππ
Yamamoto naona angezika au kuchinja chinja πππ.. Pole sana, bora shida ya sump itokee upo mjini, chini nimepiga bati moja la chuma matata ni zito hadi sump kupasuka kuna mkono wa mtuYou see...angekuwa Yamamoto sasa hizi tusingekuwa na hii discussion! Ijumaa na mimi nikatoboa sump! Nimeingia kwenye handaki nikasikia chuma kidunda chini. Jana asubuhi naenda job narudi reverse nitoke naona kuna kisima cha crude oil chini nikajua lile shimo limejibu. Ila nimerekebisha kesho inarudi barabarani.
Hahahahah mtoto anaona raha gari inavyokimbia eeh!kitoto cheupe unywele hadi huku kwanini usiwe fundiii ππππ.. ile ilikuwa pale pale mzee tunaenda mbinguni kwa baba Yesu
hii ni sheria namba moja kabisa kwangu , mikanda kama kawaida sema ingekuwa kama penzi kitovu cha uzembe πππHahahahah sema si ulifunga mkanda
anapenda sana ma mbio , anafurahia kinoma tunavyo kinukisha road, kasema tusubiri tuvute chuma kali ya maana nikamuonesha Scirocco na GTI pamoja na sportback audi akasema tusubiri anapenda ligi road mtotoHahahahah mtoto anaona raha gari inavyokimbia eeh!
Ungeisha, ungechomokea usoni mwa gariπ sema vipi hujalivunja gari kweli?hii ni sheria namba moja kabisa kwangu , mikanda kama kawaida sema ingekuwa kama penzi kitovu cha uzembe πππ
Hahahahahah muhamie kwenye sportback sasa. Juzi nilikuwa nakitesti ki mini cooper aisee kile kigari nacho kina turbocharger kinavuta kama scirrocco tu ni balaa engine 1.6T...anapenda sana ma mbio , anafurahia kinoma tunavyo kinukisha road, kasema tusubiri tuvute chuma kali ya maana nikamuonesha Scirocco na GTI pamoja na sportback audi akasema tusubiri anapenda ligi road mtoto
Around 9 mpaka 10 kama una keep RPM katika mizunguko 2000 kwa dakika. Ziko vizuri sana, ninayo mojaLitre ya mafuta inaenda kilometer ngapi
Hajaimiliki huyo, anasimuliwa tu. Ninayo hapa namba C, imesimama mbayaaaaaa.Naona unahadithiwa na raia.
Tafuta gari kwanza then urudi.
Hahahahah ila angetoka salama kama ni Crown full ma AirbagsYamamoto naona angezika au kuchinja chinja πππ.. Pole sana, bora shida ya sump itokee upo mjini, chini nimepiga bati moja la chuma matata ni zito hadi sump kupasuka kuna mkono wa mtu
No man. Zinauzwa bei ndogo kwa sababu kumekuja matoleo mapya ambayo ni maboresho ya hio GX 100, ambayo ni Mark II Grande (110), Verossa (115), Brevis, Altezza, Mark X na Crown. Hizi nyingi ni maboresho ya Mark II za zamani kama hiziKweli watu wasingekuwa wanaziuza bei ndogo
Sielewi gari zima halijapata shida hata kidogo na pale pale ngoma nikaitoa down kule kwa reverse ngoma mchibuyu, bila chuma ingepasuka sump tena ila pia chuma chini limesaidiaUngeisha, ungechomokea usoni mwa gariπ sema vipi hujalivunja gari kweli?
crown nyepesi kulinganisha na gari niliyokuwa nayo ingetutupa,Hahahahah ila angetoka salama kama ni Crown full ma Airbags
sportback matusi yale.. sema ndio ivyo mtu anakaba hadi kivuli hata kama una magendo kuyavusha kazi πππHahahahahah muhamie kwenye sportback sasa. Juzi nilikuwa nakitesti ki mini cooper aisee kile kigari nacho kina turbocharger kinavuta kama scirrocco tu ni balaa engine 1.6T...
Nilikuwa nakichukulia poa ila kumbe kigari kweli kizito kama tofali!
Nakushauri uichukue, hutajuta. Injini yake ni 1G iliyoboreshwa (Beams 2000) na ni cc 1998. Inachanganya haraka sana na consumption ni ya kawaida kabisa. Ondoa hofu brother
Hahahah waya mkaliπ wazee wa TPA hawataki masihara kabisasportback matusi yale.. sema ndio ivyo mtu anakaba hadi kivuli hata kama una magendo kuyavusha kazi πππ
Hahahahahah stability imewaokoa aiseeπcrown nyepesi kulinganisha na gari niliyokuwa nayo ingetutupa,
tuishi nao tu humo humo ππππ kwa akili mingi sanaaHahahah waya mkaliπ wazee wa TPA hawataki masihara kabisa
kile kidude kidogo sana lakini kina 1740kg ambayo ni advantage na shape yale ilivyo na vile kivyo chiniHahahahahah stability imewaokoa aiseeπ
Amna namna ni kucheza na Y.O.M tu! Ukitaka latest unaingia kwa mkaburu tutuishi nao tu humo humo ππππ kwa akili mingi sanaa