Gari aina ya IST imeibwa leo. Yeyote atakayeiona naomba atupe taarifa

Bila kuwa na tracking system ni changamoto sana.

Ikifika tu machinjio yao ndiyo basi tena.
Kuna wajanja wana mashine za ku detect hizi tracking system wanazitoa. Ni kuomba tu hii misala inaumiza sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…