Lax
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 4,740
- 7,179
Hivi ni kwanini wengi huwa hawaweki hizi systems?Bila kuwa na tracking system ni changamoto sana.
Ikifika tu machinjio yao ndiyo basi tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ni kwanini wengi huwa hawaweki hizi systems?Bila kuwa na tracking system ni changamoto sana.
Ikifika tu machinjio yao ndiyo basi tena.
Kuna watu walikuwa wanatoa battery usiku na wengine wanang'oa staring usiku asubuhi wanarudishia. Ila siku ya kuibiwa itaibiwa Tu cz mwizi hufanya research zake vyema kabla ya kuiba.Ukimiliki gari Bongo na hasa kama inalala sehemu ambazo siyo salama sana unatakiwa uwe walau na ma-ujanja ujanja. Pale inapolala chimbia chuma kubwa liende chini kabisa na lisionekane kwa juu. Chomea chuma kama komeo lakufunga kufuli na gari uwe unapaki juu ya hilo chuma. Baada ya kupaki ingia uvunguni mwa gari, funga nyororo kwenye lile komeo lishikane na difu ya gari kwa chini. Mwizi akipiga moto na kukanyaga mafuta gari haisogei. Njia nyingine ni kuweka alarm ya kuchimbia chini, ambayo unapaki gari na tairi inakanyaga ile alarm. Mwizi akisogeza gari tu uzito wa tairi ukiondoka una activate ile alarm.
Sio kwamba nasema imekutokea the same way kama ulivyowahi nitokea mimi Ila tunaongelea uzoefu. Pole sana mkuu naimani watu watapambana na kuonesha leads kadhaa mwisho kupatikana.Mkuu mimi situmii na sijawai kutumia kilevi chochote mkuu
Niliwahi enda kwa harusi na usafiri wa ofisi, naamka asubuhi siuoni nikajua nishapigwa. Inafika saa nne jamaa wananiambia usafiri waliondoka nao baada ya kunipeleka kwangu, sikuwa na kumbukumbu kabisa na nilishachanganyikiwaIlishawahi tokea jamaa alipiga konyagi kapotea kabisa gari kaliacha alipolipaki karudishwa home na gari ya jamaa yake asubuhi kaamka halioni gari home kaenda ripoti polisi ile anawasiliana na jamaa aliokuwa nao wakamwambia rudi pale tulikuwa tunakunywa akaliona kumbe hakurudi nalo
Imeibiwa Dar magomeni Mikumi Mtaa wa Kibondo.
Namba za gari T.441 DZD
Sinywi pombe wala situmii kilevi chochote mkuu.
Mkuu hapa mjini mishe nyingi tu zinakurudisha mida hiyo
Mkuu ushavaa suti uanze kuingia tena mvunguni mwa gari kweli!!?Ukimiliki gari Bongo na hasa kama inalala sehemu ambazo siyo salama sana unatakiwa uwe walau na ma-ujanja ujanja. Pale inapolala chimbia chuma kubwa liende chini kabisa na lisionekane kwa juu. Chomea chuma kama komeo lakufunga kufuli na gari uwe unapaki juu ya hilo chuma. Baada ya kupaki ingia uvunguni mwa gari, funga nyororo kwenye lile komeo lishikane na difu ya gari kwa chini. Mwizi akipiga moto na kukanyaga mafuta gari haisogei. Njia nyingine ni kuweka alarm ya kuchimbia chini, ambayo unapaki gari na tairi inakanyaga ile alarm. Mwizi akisogeza gari tu uzito wa tairi ukiondoka una activate ile alarm.
Itakuwa ni negligence tu.Hivi ni kwanini wengi huwa hawaweki hizi systems?
Hii ya chuma umenipa kitu leo, ntaifanya soonUkimiliki gari Bongo na hasa kama inalala sehemu ambazo siyo salama sana unatakiwa uwe walau na ma-ujanja ujanja. Pale inapolala chimbia chuma kubwa liende chini kabisa na lisionekane kwa juu. Chomea chuma kama komeo lakufunga kufuli na gari uwe unapaki juu ya hilo chuma. Baada ya kupaki ingia uvunguni mwa gari, funga nyororo kwenye lile komeo lishikane na difu ya gari kwa chini. Mwizi akipiga moto na kukanyaga mafuta gari haisogei. Njia nyingine ni kuweka alarm ya kuchimbia chini, ambayo unapaki gari na tairi inakanyaga ile alarm. Mwizi akisogeza gari tu uzito wa tairi ukiondoka una activate ile alarm.
kazi kwelikwel
Ahsante Mkuu nimefanya hivyoIyo mitaa ina madalali wa magari wengi. Ungejaribu kuwambia nao wakiliona zawadi nono itatolewa.
Ahsante MkuuPole sana mkuu...utakuta hao ndo wale vijana wa kupasua vioo na kunyofoa nyofoa vitu mbali mbali..nahisi wakaona isiwe shida wakalisukuma tu kwenye gereji za karibu wakalibomoe lote... mkuu ungepita pita gereji zinazozunguka eneo unaloishi kucheki. Ila pole , inauma sana.
Ahsante MkuuSio kwamba nasema imekutokea the same way kama ulivyowahi nitokea mimi Ila tunaongelea uzoefu. Pole sana mkuu naimani watu watapambana na kuonesha leads kadhaa mwisho kupatikana.
AminPole kwa maumivu ya kuibiwa mkuu. Jambo hili likawe jepesi kwako.
Pole sana mkuuHuwa naipaki nje ya nyumba,sasa jana nimerudi home saa 8 usiku nikaingia ndani kulala Asubuhi ile natoka nielekee job sikuikuta
Hasara ya utawala mbovu wa kuruhusu watu wale kwa useful wa kama zao na kuramba AsaliNinajaribu kuvaa maumivu yako. Inaumiza sana.
Kinachouma ist ni zaidi ya 15+ M pole sana tuko pamoja kulaani majizi ,gari zina soko sana .Hari zenu wana JF,
Kuna gari aina ya IST imeibiwa leo yeyote atakae iona Naomba atupe taarifa simu 065 954 6653
078 495 5561
T. 441 DZD
Kuna zawadi nono kwa atakae fanikisha kupatika
View attachment 3003022View attachment 3003023