Gari aina ya IST imeibwa leo. Yeyote atakayeiona naomba atupe taarifa

Gari aina ya IST imeibwa leo. Yeyote atakayeiona naomba atupe taarifa

Ukimiliki gari Bongo na hasa kama inalala sehemu ambazo siyo salama sana unatakiwa uwe walau na ma-ujanja ujanja. Pale inapolala chimbia chuma kubwa liende chini kabisa na lisionekane kwa juu. Chomea chuma kama komeo lakufunga kufuli na gari uwe unapaki juu ya hilo chuma. Baada ya kupaki ingia uvunguni mwa gari, funga nyororo kwenye lile komeo lishikane na difu ya gari kwa chini. Mwizi akipiga moto na kukanyaga mafuta gari haisogei. Njia nyingine ni kuweka alarm ya kuchimbia chini, ambayo unapaki gari na tairi inakanyaga ile alarm. Mwizi akisogeza gari tu uzito wa tairi ukiondoka una activate ile alarm.
Kuna watu walikuwa wanatoa battery usiku na wengine wanang'oa staring usiku asubuhi wanarudishia. Ila siku ya kuibiwa itaibiwa Tu cz mwizi hufanya research zake vyema kabla ya kuiba.
 
Ilishawahi tokea jamaa alipiga konyagi kapotea kabisa gari kaliacha alipolipaki karudishwa home na gari ya jamaa yake asubuhi kaamka halioni gari home kaenda ripoti polisi ile anawasiliana na jamaa aliokuwa nao wakamwambia rudi pale tulikuwa tunakunywa akaliona kumbe hakurudi nalo
Niliwahi enda kwa harusi na usafiri wa ofisi, naamka asubuhi siuoni nikajua nishapigwa. Inafika saa nne jamaa wananiambia usafiri waliondoka nao baada ya kunipeleka kwangu, sikuwa na kumbukumbu kabisa na nilishachanganyikiwa
 
Pole sana mkuu...utakuta hao ndo wale vijana wa kupasua vioo na kunyofoa nyofoa vitu mbali mbali..nahisi wakaona isiwe shida wakalisukuma tu kwenye gereji za karibu wakalibomoe lote... mkuu ungepita pita gereji zinazozunguka eneo unaloishi kucheki. Ila pole , inauma sana.
 
Ukimiliki gari Bongo na hasa kama inalala sehemu ambazo siyo salama sana unatakiwa uwe walau na ma-ujanja ujanja. Pale inapolala chimbia chuma kubwa liende chini kabisa na lisionekane kwa juu. Chomea chuma kama komeo lakufunga kufuli na gari uwe unapaki juu ya hilo chuma. Baada ya kupaki ingia uvunguni mwa gari, funga nyororo kwenye lile komeo lishikane na difu ya gari kwa chini. Mwizi akipiga moto na kukanyaga mafuta gari haisogei. Njia nyingine ni kuweka alarm ya kuchimbia chini, ambayo unapaki gari na tairi inakanyaga ile alarm. Mwizi akisogeza gari tu uzito wa tairi ukiondoka una activate ile alarm.
Mkuu ushavaa suti uanze kuingia tena mvunguni mwa gari kweli!!?
 
Ukimiliki gari Bongo na hasa kama inalala sehemu ambazo siyo salama sana unatakiwa uwe walau na ma-ujanja ujanja. Pale inapolala chimbia chuma kubwa liende chini kabisa na lisionekane kwa juu. Chomea chuma kama komeo lakufunga kufuli na gari uwe unapaki juu ya hilo chuma. Baada ya kupaki ingia uvunguni mwa gari, funga nyororo kwenye lile komeo lishikane na difu ya gari kwa chini. Mwizi akipiga moto na kukanyaga mafuta gari haisogei. Njia nyingine ni kuweka alarm ya kuchimbia chini, ambayo unapaki gari na tairi inakanyaga ile alarm. Mwizi akisogeza gari tu uzito wa tairi ukiondoka una activate ile alarm.
Hii ya chuma umenipa kitu leo, ntaifanya soon
 
Pole sana mkuu...utakuta hao ndo wale vijana wa kupasua vioo na kunyofoa nyofoa vitu mbali mbali..nahisi wakaona isiwe shida wakalisukuma tu kwenye gereji za karibu wakalibomoe lote... mkuu ungepita pita gereji zinazozunguka eneo unaloishi kucheki. Ila pole , inauma sana.
Ahsante Mkuu
 
Back
Top Bottom