Gari aina ya IST imeibwa leo. Yeyote atakayeiona naomba atupe taarifa

Gari aina ya IST imeibwa leo. Yeyote atakayeiona naomba atupe taarifa

Ilishawahi tokea jamaa alipiga konyagi kapotea kabisa gari kaliacha alipolipaki karudishwa home na gari ya jamaa yake asubuhi kaamka halioni gari home kaenda ripoti polisi ile anawasiliana na jamaa aliokuwa nao wakamwambia rudi pale tulikuwa tunakunywa akaliona kumbe hakurudi nalo
 
Umeibiwa maeneo gani, mji gani, mkoa gani.
Weka namba ya gari lakini pia chassis number.
Last but not least, saa nane usiku ulikua unatoka wapi? Isije ikawa gari uliiacha ulikotoka.
Au washkaji walikurudisha home ukiwa mbwi Kisha wakaenda kulihifadhi kwao.
Nane usiku ndio unarudi home? Hata walinzi hawarudigi muda huo.
Imeibiwa Dar magomeni Mikumi Mtaa wa Kibondo.
Namba za gari T.441 DZD
Sinywi pombe wala situmii kilevi chochote mkuu.
Mkuu hapa mjini mishe nyingi tu zinakurudisha mida hiyo
 
Ilishawahi tokea jamaa alipiga konyagi kapotea kabisa gari kaliacha alipolipaki karudishwa home na gari ya jamaa yake asubuhi kaamka halioni gari home kaenda ripoti polisi ile anawasiliana na jamaa aliokuwa nao wakamwambia rudi pale tulikuwa tunakunywa akaliona kumbe hakurudi nalo
Mkuu mimi situmii na sijawai tumia kilevi cha aina yoyote
 
0A14A0C3-9889-4687-AAAE-83B2A70F8C76.jpeg
 
Back
Top Bottom