MENERIKI II
JF-Expert Member
- Oct 21, 2014
- 642
- 1,294
- Thread starter
- #21
DuhHilo mbona dogo tu ..lishaisha hilooo...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuhHilo mbona dogo tu ..lishaisha hilooo...
HaikufungwaKwani haikufungwa GPS!?
We acha tu mkuu inaumiza sanaShetani bwana akitaka usimiliki gari atafanya kila namna. Wewe unanunua gari yeye anatuma wezi waliibe. Shenzi zake.
Ahsante Mkuu,ni hatari
AhsanteDuh pole mkuu
Ahsante MkuuPole mkuu.
Hizi gari kuna kipindi zilikuwa zinaibiwa sana, nadhani watu wana funguo zake bandia zile master key.
Imeibiwa Dar magomeni Mikumi Mtaa wa Kibondo.Umeibiwa maeneo gani, mji gani, mkoa gani.
Weka namba ya gari lakini pia chassis number.
Last but not least, saa nane usiku ulikua unatoka wapi? Isije ikawa gari uliiacha ulikotoka.
Au washkaji walikurudisha home ukiwa mbwi Kisha wakaenda kulihifadhi kwao.
Nane usiku ndio unarudi home? Hata walinzi hawarudigi muda huo.
Mkuu mimi situmii na sijawai tumia kilevi cha aina yoyoteIlishawahi tokea jamaa alipiga konyagi kapotea kabisa gari kaliacha alipolipaki karudishwa home na gari ya jamaa yake asubuhi kaamka halioni gari home kaenda ripoti polisi ile anawasiliana na jamaa aliokuwa nao wakamwambia rudi pale tulikuwa tunakunywa akaliona kumbe hakurudi nalo
Sawa Mkuu,zawadi nono ipoUmesahau kuandika zawadi nono itatolewa,
weka motivation watu wakiliona watumie gharama zao kufatilia liendako
Aisee pole sana haina kingamuzi cha kuifwatiliaHuwa naipaki nje ya nyumba,sasa jana nimerudi home saa 8 usiku nikaingia ndani kulala Asubuhi ile natoka nielekee job sikuikuta
Na wala usitumiE mkuu damu ya YESU IKANENE MEMA UKAIPATE GARI YAKO MAPE.A IWEZEKANAVYOMkuu mimi situmii na sijawai tumia kilevi cha aina yoyote
Haina MkuuAisee pole sana haina kingamuzi cha kuifwatilia
Amin🙏🙏Na wala usitumiE mkuu damu ya YESU IKANENE MEMA UKAIPATE GARI YAKO MAPE.A IWEZEKANAVYO
MUNGU ATAAFANYA NJIA MKUU NTAIWEKA MAOMBI YANGU YA USIKJ MOTO WA YESU UKAWASHUKIE POPOTE PALE WALIPOHaina Mkuu
Ninajaribu kuvaa maumivu yako. Inaumiza sana.Huwa naipaki nje ya nyumba,sasa jana nimerudi home saa 8 usiku nikaingia ndani kulala Asubuhi ile natoka nielekee job sikuikuta
Sana MkuuNinajaribu kuvaa maumivu yako. Inaumiza sana.