MENERIKI II
JF-Expert Member
- Oct 21, 2014
- 642
- 1,294
- Thread starter
- #41
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante mkuuPole sana mkuu
Ahsante Mkuudah pole sana mkuu.
Pole mkuu.
Hizi gari kuna kipindi zilikuwa zinaibiwa sana, nadhani watu wana funguo zake bandia zile master key.
Aloibiwa Pole yake tunamuombea alipate
Ukimiliki gari Bongo na hasa kama inalala sehemu ambazo siyo salama sana unatakiwa uwe walau na ma-ujanja ujanja. Pale inapolala chimbia chuma kubwa liende chini kabisa na lisionekane kwa juu. Chomea chuma kama komeo lakufunga kufuli na gari uwe unapaki juu ya hilo chuma. Baada ya kupaki ingia uvunguni mwa gari, funga nyororo kwenye lile komeo lishikane na difu ya gari kwa chini. Mwizi akipiga moto na kukanyaga mafuta gari haisogei. Njia nyingine ni kuweka alarm ya kuchimbia chini, ambayo unapaki gari na tairi inakanyaga ile alarm. Mwizi akisogeza gari tu uzito wa tairi ukiondoka una activate ile alarm.Ahsante Mkuu
Mkuu hii ipo na ishawahi kunitokea. Mapombe makali haya sio issue, yanakata kumbukumbuIlishawahi tokea jamaa alipiga konyagi kapotea kabisa gari kaliacha alipolipaki karudishwa home na gari ya jamaa yake asubuhi kaamka halioni gari home kaenda ripoti polisi ile anawasiliana na jamaa aliokuwa nao wakamwambia rudi pale tulikuwa tunakunywa akaliona kumbe hakurudi nalo
AminAloibiwa Pole yake tunamuombea alipate
Mkuu mimi situmii na sijawai kutumia kilevi chochote mkuuMkuu hii ipo na ishawahi kunitokea. Mapombe makali haya sio issue, yanakata kumbukumbu
Hii iliwahi kunitokea, niliacha gari bar.Umeibiwa maeneo gani, mji gani, mkoa gani.
Weka namba ya gari lakini pia chassis number.
Last but not least, saa nane usiku ulikua unatoka wapi? Isije ikawa gari uliiacha ulikotoka.
Au washkaji walikurudisha home ukiwa mbwi Kisha wakaenda kulihifadhi kwao.
Nane usiku ndio unarudi home? Hata walinzi hawarudigi muda huo.
Pole sana Mkuu, huyo dawa yake ni ndogo sana, nenda kwa Sheikh mchezo utakuwa umeumaliza. Vijana tunakumbwa na tamaa sana. Gari ya ml 12 wataenda kuuza kwa bei ya kuvunja hata ml 5 ili liuzwe faster. Zilinde mali zako. Mali bila ulinzi utataftia wenzio.Hari zenu wana Jf
Kuna gari aina ya IST imeibiwa leo yeyote atakae iona Naomba atupe taarifa simu 065 954 6653
078 495 5561
T. 441 DZD
Kuna zawadi nono kwa atakae fanikisha kupatika
Mimi nilirudi mida hii hii ya mdau saa 8+ ile nime park tu nkashuka hata sijazima taa ndani kulala, asubuhi nakuta gari inanguruma tu.Mkuu hii ipo na ishawahi kunitokea. Mapombe makali haya sio issue, yanakata kumbukumbu