JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
Dah 😂😂😂😂 hata akifunga tairi kama hizo, kama sensor ni nzima na tairi ipo kwenye correct pressure taa itazima akifanya reset.View attachment 2440362
Hili ni duka la tairi boss. Kuna mtu ananunua na kufunga kwenye gari. Kwann taa izime?