Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo taa kuwaka sio kawaida,mzungu sio mjinga Kama mbongo ikiwa taa inawaka maana yake Kuna tatizo mahali.Ni kweli boss, Wakati mwingine mambo mengine inabidi kuyapuuza kama mfuko umebana. Huwezi acha mambo muhimu unakazana kuzima taa.
Peleka gari kwa professional mechanical Kuna sehemu kwenye engine imeandikwa diagnosis hapo ndio utapata suluhu ya gariKwahiyo mkuu unanihakikishia kwamba nikibadilisha Tyres zote Taa itazima sio
Na kama nikibadili halafu ikagoma kuzima?
Sasa kama hela hamna ufanyaje boss? Mfano Mtu umeajiriwa bank, una kipato cha laki saba, umepanga nyumba laki mbili umekopa m18 ukanunua bmw unadhani utakuwa na kipaumbele cha kuzima taa? Itawaka tu.Hiyo taa kuwaka sio kawaida,mzungu sio mjinga Kama mbongo ikiwa taa inawaka maana yake Kuna tatizo mahali.
Tatizo letu wabongo na inawezeka a kwasababu ya ujinga wetu,magari yetu tunatengeneza chini ya mwembe.
Sasahivi magari mengi ukiangalia engine Kuna diagnosis box,Ile Ina maana Sana Sasa sisi ni watu wa kupuuza Kila kitu
Madhara yake unaweza usione muda mfupi ujao,ukija shtuka unajuta
Ujue hadi nawaza kutoa hili tairi lililopata pancha niweke spare Tyre nione matokeo yakeSasa kama hela hamna ufanyaje boss? Mfano Mtu umeajiriwa bank, una kipato cha laki saba, umepanga nyumba laki mbili umekopa m18 ukanunua bmw unadhani utakuwa na kipaumbele cha kuzima taa? Itawaka tu.
Kuna vijana wachache sana chini ya 37 yrs wenye uwezo wa kummaintain mjerumani kama inavyotakiwa. Wengi ni kuunga unga tu maisha yaende.
Mshahara laki Saba unakooa 18m!!!kununua gari ya mzungu!daah wasomi mnatuangushaSasa kama hela hamna ufanyaje boss? Mfano Mtu umeajiriwa bank, una kipato cha laki saba, umepanga nyumba laki mbili umekopa m18 ukanunua bmw unadhani utakuwa na kipaumbele cha kuzima taa? Itawaka tu.
Kuna vijana wachache sana chini ya 37 yrs wenye uwezo wa kummaintain mjerumani kama inavyotakiwa. Wengi ni kuunga unga tu maisha yaende.
Wacha tuvimbe na Kuluger sieMshahara laki Saba unakooa 18m!!!kununua gari ya mzungu!daah wasomi mnatuangusha
😄😄 Kirahisi rahisi hivyo? Germany Engineering hio,pambana mkuu.Mkuu BMW X3 hazina hiyo button?
Na Tena asiweke hizi linglong tyres mzee 😄Nimeshamwambia BMW haitambui viraka wala tambi, sensor inaona kuna uchafu kwenye tairi hadi aweke jipya
Embu jaribu boss halafu reset na mashine uoneUjue hadi nawaza kutoa hili tairi lililopata pancha niweke spare Tyre nione matokeo yake
Haitakiwi kabisa na wajerumani 😂 muwe mnafata manual jamani, Michelin ama Pirelli ikizingua unanunua tairi mpya.Hahahah kwa hiyo hata akifunga tairi za mchina hata kama kashata zimenyooka bado ngoma itaendelea? 😂😂😂
Hapana jmn, hiyo haihusiani na tyre kuwa kiraka hata kidogo.
😂😂😂😂😂 sensor bila kuona ile mistari yote ya ndani ya tairi haitakaa izime bro. Kila mzunguko ukifika kwenye kiraka inachanganyikiwa inaendelea kuwaka 😂Mkuu unaongea kama wewe ndio sensor yenyewe, like "Usipobadilisha tairi sizimiki ng'o"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sensor bila kuona ile mistari yote ya ndani ya tairi haitakaa izime bro. Kila mzunguko ukifika kwenye kiraka inachanganyikiwa inaendelea kuwaka [emoji23]
Umeweza kutatuaje mkuu?Nishatatua tatizo Mimi mwenyewe bila ya fundi wala mashine tena kirahisi sana,
Nimegundua ukiwa na tatizo halafu ukaja Jamii forum kupata muongozo usipokuwa makini unaongezewa tatizo
Nenda Banana au Mnyagatwa Car Wash karibu na Kituo Cha Posta Opposite ya AirwingMombasa ya Dar, ngoja nifanye hivyo
Kwahiyo hii ndio itakuwa style, Yani warning light yeyote ikiwaka kuitoa ni hadi kwa Mashine na sio tatizo likiwa solved
Na gharama zake zikoje?
Haitakiwi kabisa na wajerumani [emoji23] muwe mnafata manual jamani, Michelin ama Pirelli ikizingua unanunua tairi mpya.
Itakuwa ndio hiyo button ya reset. Hebu jaribu kugoogle inabonyezwaje.Mkuu, na hyo button kazi yake ni gani?View attachment 2440460