JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
Dah ππππ hata akifunga tairi kama hizo, kama sensor ni nzima na tairi ipo kwenye correct pressure taa itazima akifanya reset.View attachment 2440362
Hili ni duka la tairi boss. Kuna mtu ananunua na kufunga kwenye gari. Kwann taa izime?
Nafahamu mkuu. kuna tairi ni vituko zinauzwa.Okey mkuu. Ila laiti ungejua aina za matairi ya kitanzania hii possibility usingeikataa.
Ndio gari inavyotaka mzee achaneni na reset code muiamini sensor.Kwahiyo wenye BMW wote tairi zao zikipata pancha huwa hawazibi wananunua mpya?
Ukweli lazma usemwe tatizo ni kubadili tyre afunge orijino parts kama michelin ama pirelli
Sasa boss watu wananunua mpaka unga unga ule unawekwa ndani ya rim ili mambo yaende maana gari ikipaki asubuhi tairi limelala.Dah ππππ hata akifunga tairi kama hizo, kama sensor ni nzima na tairi ipo kwenye correct pressure taa itazima akifanya reset.
Abadilishe tairi bwana aache usanii, watu wakinunua rav 4 mnawaona washamba. Afate masharti ya BMW inavyotaka tairi moja ya pirelli ni laki 6 tu sio hela nyingi sana.Hakunielewa, nilimwambia hiyo taa ipo sababu ya tairi. Iwapo sensor ni nzima basi tairi ndo mbovu. Na kwasababu tunajifahamu watanzania tairi zetu tunabadili kwa kuangalia kashata huenda kweli tairi zina shida.
HahahaNdio gari inavyotaka mzee achaneni na reset code muiamini sensor.
DahπππNdio gari inavyotaka mzee achaneni na reset code muiamini sensor.
Hahahahaha.Abadilishe tairi bwana aache usanii, watu wakinunua rav 4 mnawaona washamba. Afate masharti ya BMW inavyotaka tairi moja ya pirelli ni laki 6 tu sio hela nyingi sana.
Boss, unataka tuone kashata? Kama tairi zako ni mpya ww unajua hilo, huna sababu ya kuthibitisha. Kwa kupitia maoni humu unaweza kuta Kuna mtu ana BM au Aud na tairi zimechoka ameshajua kwann fundi joni alishindwa kuzima taa.Mkuu, unataka nipige picha matairi yangu Nini?
Mkuu unaongea kama wewe ndio sensor yenyewe, like "Usipobadilisha tairi sizimiki ng'o"Abadilishe tairi bwana aache usanii, watu wakinunua rav 4 mnawaona washamba. Afate masharti ya BMW inavyotaka tairi moja ya pirelli ni laki 6 tu sio hela nyingi sana.
[emoji23]Abadilishe tairi bwana aache usanii, watu wakinunua rav 4 mnawaona washamba. Afate masharti ya BMW inavyotaka tairi moja ya pirelli ni laki 6 tu sio hela nyingi sana.
Nipo Mombasa