Na UTI unaondoka nayoVaa adult diapers upande gari lolote. Ni mwendo wa mobile self contained. Unaachia mzigo ukiwa umekaa.
View attachment 3081312
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na UTI unaondoka nayoVaa adult diapers upande gari lolote. Ni mwendo wa mobile self contained. Unaachia mzigo ukiwa umekaa.
View attachment 3081312
Hii ya saa kumi jion inafika bukoba saa ngap1. Happy Nation SAA 10 Jioni siti ni 2x2. VIP ina Choo.
2. Happy Nation @ 2 usiku, Siti 1x2 VVIP ila haina choo.
3. Abood Bus VIP ina choo, nadhani inatoka saa 10 jion.
Pia kuna Frester na Travel Partner..hizi nazo sina uzoefu nazo.
Ila nakushauri usije ukapanda Frester ya saa nane mchana na Travel Partner ya mchana, zinaongoza kwa kuwa daladala, mtapakia njiani hadi kuku, na hazijali muda. Kwao mteja ni mtumwa.
Wenye uzoefu zaidi wataongezea.
1. Happy Nation SAA 10 Jioni siti ni 2x2. VIP ina Choo.
2. Happy Nation @ 2 usiku, Siti 1x2 VVIP ila haina choo.
3. Abood Bus VIP ina choo, nadhani inatoka saa 10 jion.
Pia kuna Frester na Travel Partner..hizi nazo sina uzoefu nazo.
Ila nakushauri usije ukapanda Frester ya saa nane mchana na Travel Partner ya mchana, zinaongoza kwa kuwa daladala, mtapakia njiani hadi kuku, na hazijali muda. Kwao mteja ni mtumwa.
Wenye uzoefu zaidi wataongezea.
Hiyo abood bus vip yakuondoka saa kumi inafika saa ngap bukoba1. Happy Nation SAA 10 Jioni siti ni 2x2. VIP ina Choo.
2. Happy Nation @ 2 usiku, Siti 1x2 VVIP ila haina choo.
3. Abood Bus VIP ina choo, nadhani inatoka saa 10 jion.
Pia kuna Frester na Travel Partner..hizi nazo sina uzoefu nazo.
Ila nakushauri usije ukapanda Frester ya saa nane mchana na Travel Partner ya mchana, zinaongoza kwa kuwa daladala, mtapakia njiani hadi kuku, na hazijali muda. Kwao mteja ni mtumwa.
Wenye uzoefu zaidi wataongezea.
Unameza azuma😃Na UTI unaondoka nayo
Kesho yake saa mojau usiku mamamaeInafika bukoba saa ngap
Saa nne hasubui au tano .Hiyo abood bus vip yakuondoka saa kumi inafika saa ngap bukoba
Ipo ambayo kila abiria anawekewa poti chini ya kiti chake, hii huondoka Dar saa mbili usiku na kufika Bukoba saa kumi na moja na nusu alfajiri.Wadau nauliza gari nzuri ya dar-bukoba yenye choo ndani
A simple solution to a simple problem.🤣👆hakika dunia ina mang'ana! what this on earth.
Kula kula ovyo. Hawa ndio wale mahindi lete, mayai ya kuchemsha twende, akiona half cake anabugia. Huwa wanakera sana abiria wenzao kwa mashuzi.Inaelekea unapenda sana kunyakunya ovyo
Wewe bhana ungeulizia tu gari zuri na la uhakika la kukufikisha huko Bukoba. Kama ni choo ukifika hotelini, utamaliza shida zako. Dakika 10 zinakutosha.Wadau nauliza gari nzuri ya dar-bukoba yenye choo ndani
Nshomileee kwenye ubora wake...hela hunaa wewee,nenda kale matoke.unasafiri au unataka kwenda kunyaaaMkuu nimeamua kupanda ndege ya chini...ya juu Sina uzoefu nayo japo cash ipo
Umepoteza funguo? 😹Wadau nauliza gari nzuri ya dar-bukoba yenye choo ndani
Mtu mpaka anataka bus lenye choo ujue anajijua kunya popoteKula kula ovyo. Hawa ndio wale mahindi lete, mayai ya kuchemsha twende, akiona half cake anabugia. Huwa wanakera sana abiria wenzao kwa mashuzi.
Hii diaper Ina uwezo wa kuhandle ltr ngapi za urine? Hapo bado gogo lenyeweVaa adult diapers upande gari lolote. Ni mwendo wa mobile self contained. Unaachia mzigo ukiwa umekaa.
View attachment 3081312
😂😂😂😂😂😂🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾Vaa adult diapers upande gari lolote. Ni mwendo wa mobile self contained. Unaachia mzigo ukiwa umekaa.
View attachment 3081312
Hivi nasikia kwa ajili ya haja ndogo tu??Mtu mpaka anataka bus lenye choo ujue anajijua kunya popote
Sijui jamaa yanguHivi nasikia kwa ajili ya haja ndogo tu??