Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Sisi wa laki 6 vipi tuendelee kusubir....Mwamba gari lolote linafaa kuanzia maisha
Ila kama kipato ni laki 4 ningekushauri suala la gari achana nalo kwa sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi wa laki 6 vipi tuendelee kusubir....Mwamba gari lolote linafaa kuanzia maisha
Ila kama kipato ni laki 4 ningekushauri suala la gari achana nalo kwa sasa
Muda mwingine kushauri kupo maana anaweza ananunue sawa ila akauza kwa masimango mm mwenyewe basi tu sikuletaga mawazo yangu humu japo pia alikuepo wa kuniambia usinunue kwanza ila nilishupaza shingo nikajuta na yakapita. Vipato vimekua vigumu tujiwekezeni kwanza gari iwe kifaa kama vifaa vingine kikiwa na umuhimu kamatia ila kwa malipo ya 400k aloo gari bado sioni kama linaumuhimu kwake mawazo yangu tu haya.Umesikia dogo.
Mshikaji anahitaji kujua gari ipi ya kuanza nayo maisha itamfaa kutokana na kipato chake.
Hajasema tumshauri either anunue gari au asinunue. Akinunua akaona linamshinda si ataliuza tu?
Siku hizi Kuna magari Hadi ya milioni 3 kwa mtu. Miliki chuma mkuu,Dunia na maisha ndiya haya haya.Sisi wa laki 6 vipi tuendelee kusubir....
Subiri gari iwe kitu cha lazima ila kama unanunua gari ili ukimbilie kazi ya boss aloo safari ipo na usikubali kuwa mmoja wao ww jibane pambana ujitoe kwenye 600k au hata kama utakua hapo ila uwe na vitu vinavyofanya uvikimbilie na gari hapo utaweza nunua gari na kulifaidi matumizi yake.Sisi wa laki 6 vipi tuendelee kusubir....
Ushauri huu utaonekana sio ushauri mkuu watu watakuona ww mbaya kama vipi tumwambie akamatie crown majesta nissan fuga au akamatie hata lc300 maana 400k ukatafute gari mafuta kwa mwezi ngoja nicheke tu na hapo ni kazi za kumkimbilia boss ukiachishwa gari unaona bayaMwamba gari lolote linafaa kuanzia maisha
Ila kama kipato ni laki 4 ningekushauri suala la gari achana nalo kwa sasa
Kuna watu wanahitaji gari hamna namna nyingine..Gari ni liability kama hauna necessary and stable financial resouces. I wont advise you to venture into that. Invest to diversify and increae your income stream. Baadae utajikuta tu unanunua gari kama kifaa cha lazima cha kufanyia shughuli zako.
Point sana hii mkuu.Kuna watu wanahitaji gari hamna namna nyingine..
Mfano
Photographer,
Camera 2.2M
Lens mbili 3.5M
Strobe 1.5M
Stand& soft box 350k
Trigger 150k
Card 1200k
Laptop 1.5M
Hapo lazima gari,ukikabwa ni msiba.
Vuta chuma hiyooSisi wa laki 6 vipi tuendelee kusubir....
Nunueni fekon au kinglion[emoji16][emoji16]Sisi wa laki 6 vipi tuendelee kusubir....
Sinoray mkuu sijawahi kujuta kabisa Vijana wenye kipato kidogo msikatishwe tamaa gari ni muhimu sana kwa maisha ya sasa ila jitahidi uwe na pikipiki pia ... Gari unatumia Mara Moja moja kama kuna issue za kifamilia na mnalazimika kusafiri wote au kuitoa familia out... Usikubali kuishi kiboya hata kama huna pesa nyingi maisha ni haya hayaNunueni fekon au kinglion[emoji16][emoji16]
Kweli mkuu piki piki muhimu, hasa Kama una gari ambayo sio off-road, pikipiki zinasaidia SanaSinoray mkuu sijawahi kujuta kabisa Vijana wenye kipato kidogo msikatishwe tamaa gari ni muhimu sana kwa maisha ya sasa ila jitahidi uwe na pikipiki pia ... Gari unatumia Mara Moja moja kama kuna issue za kifamilia na mnalazimika kusafiri wote au kuitoa familia out... Usikubali kuishi kiboya hata kama huna pesa nyingi maisha ni haya haya
Ina maana hakunaga gari nyingine nzuri kwa mtu anayeanza kumiliki gari? Maana miaka nenda rudi ushauri wa JF haubadiliki ni Carina tuCarina ni gari nzuri hasa kwa wanaoanza kumiliki ndinga. Alafu bei zake sio kali sana na hakina mambo mengi
Kwa kipato hiki sikushsuri umiliki Gari..Wakuu habari,
Naombeni ufafanuzi natamani nipate gari la kuanzia maisha nitakalokaa nalo muda mrefu kidogo, ninakoishi kuna milima ya wastani na vumbi la kati.
Je, ni gari gani inanifaa Mimi, kipato changu ni cha chini kwa mwezi napata laki 4?
Sawa mkuu ngoja tujipange Kwa kinglion, fekon, haojue, tvs, boxer 🤓Nunueni fekon au kinglion[emoji16][emoji16]
Mawazo ya KIMASKINI!!Kwa kipato hiki sikushsuri umiliki Gari..
Kwa kipato chake cha laki4 kwa mwezi unamshauri aanzie maisha na Mitsubishi Outlander [emoji848]Mitsubishi outlander mkuu hutajutia boss