Augu_Rider
Member
- Oct 15, 2022
- 52
- 90
Apo cha msingi ndug yangu fanya juu chini uwe na 1M ambay ni reserve ya gari mbali na mshahara ikitokea ata tair imepasuka bahat mbaya una uwezo wa kubadili Sababu una akiba ya 1M apo mbn watakuw wanasema ataliuza ty ilo gari alafu we unapeta tuuu