Aiseee, kumbe badala ya kuongeza performance ndo unaipunguza........nilichogundua wafanyabiashara na mafundi hawawezi kukuelimisha kuhusu mambo kama haya ili uende mara kwa mara wapige hela, kwa mantiki hii service ya gearbox nitafanya mara moja kwa mwaka.Utaua gear box....
Oil ya gear box haibadilishwi hovyo....
At least baada ya 50,000km ndo unabadili