BabuMkubwa
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 2,417
- 3,590
Sijui zinakatikiaga eneo gani,loh kazi kweli kweli.hayo hayo[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui zinakatikiaga eneo gani,loh kazi kweli kweli.hayo hayo[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Zinakatika kwenye ball-joint!Sijui zinakatikiaga eneo gani,loh kazi kweli kweli.
Mwaka huu nimeamua kwenda na tractor John DeereView attachment 2842479
View attachment 2842477View attachment 2842478
Kuelekea sikuku ya Kuzaliwa Yesu, mkombozi wa wandamu wote, Watu wanasafiri sanna mkoa mmoja kwenda mwengine kujumuika na familia zao kumsheherekea Issa bin Maram au Yesu kama wakristo wanavyyomuita.
.
Ajali nyingi kipindi hiki na hasa watu wanaotoka Dar kwenda mikoani.
Sababu za ajali ni pamoja na :
1. Aina ya gari, mfano Prado Mchagga huwa zinakatika miguu ya mbele hta kama ni mpya, hiyo ni defect toka kiwandani na inaasikitisha mpaka leo TBS wanaruhusu hizo gari kuingia nchini.
2 . Nissan dualis, zimeumbiwa baridi, nyingi zinaungua na madereva unakuta kaweka mziki mnene ndani hasikii wala kujua kinachoendelea.
3.Passo, Ractic na vigari sivivyozidi CC 1000 si kwa safari ndefu, vinapeperushwa na upepo, piston ndogo unakuta dereva wa Passo anata ku -overtake garo ya cc 4000.
4.Unywaji Pombe:- Dereva unakeha usiku na marafiki zako bar, mnaagana saa saba usiku alafu saa 11 alfajiri upo barabarani huku ukijidanganya na malta na kahawa, ndugu utasinzia tu.
5. Kufanya mapenzi kabla ya safari: Kufanya mapenzi kabla ya safari ,wanaita kuagana, unakesha kwa mwanamke unapiga mpaka alfakjiri then kuoga huogi unakamata usukani, uchovu unkubeba unafia ajalini.
6. Kula na kuvimbiwa: Unakula kwa kukomoa chakula, nyama zinahitaji oksijeni kumengenywa, utakula digestion ikianza unasinzia, unalala barabarani.
7. Kushondana kuwahi safari, unachati na wenzako mnaokwenda msohi na kuringishiana mlipofika, unataka uwaki zaidi ya mwenzio, utapata ajali.
8. Kutokujua barabara, mfano maeneo ya msambiazi kuna kona kali na zipo nyingi, kama hujui lazma ujibamize: Eneo lingine hatari ni Same na Hedaru kuna upepo mkali, gari ikipigwa upepo inahama hivyo eneo hili hakikisha unafunga vioo vyote.
9. TRAFFCIK:Hawa ni chanzo cha ajali , wanasimamisha gari popote bila kuzingatia ajjaye nyuma ya mhusika, ndio unagongwa unajifia.
10. Mashimo ya muda mrefu na TANROAD kuyasusa, hapa unakuta unakwepa shimo ukidhani utamuwahi wa upand wa pili unafia hapo. Mnakumbuka yule bibi harusi anaitwa Chao alikufa pale Same na mama yake wakitokea morogoro, walikuwa wanakwepa shimo barabarani wakakutana na gari ya upande wapili.
11. Gari zilizofunga breki za kichina, hakikisha una breki za uhakika, achana na maspea ya Mtaa wa lumumba, kule wanauza famba.
12. Bajaji hasa maeneo ya miji mipya, korogwe, mkata, msata zenyewe zinamadereva hawana leseni na wanajihisi wao ni kiola kitu, jichunge na bajaji, ukiona anakuja kuliko upinduke mbamizie mtaroni ujisalimishe polisi.
MVUA zinazoendelea kunyesha sehemu kubwa nchini zitaendelea kuwa chanzo cha ajali nyingi iwapo madreva hawatakuwa waangalifu na kuzingatia alama za usalama barabarani.
VIFO VYA AJALI BARABARANI
(a) Uendeshaji wa hatari
(b) Uzembe wa dereva=1573
(c) Uzembe wa waendesha baiskeli=205
(d) Uzembe wa waendesha pikipiki=1142
(e) Uzembe wa abiria=6
(f) Mwendokasi=509
(g) Mifugo=13
(h) Kupita gari bila uangalifu(overtake)=265
(i) Uzembe wa waenda kwa miguu=388
(j) Uzembe wa waendesha mikokoteni=7
(k) Ulevi=93
NB: Serikali ipige marufuku hizi Prado zinaaitwa PRADO MCHAGGA
Okay,thank you.Zinakatika kwenye ball-joint!
Issa bin Mariam ni mhuni flani hivi wala siyo Yesu Kristo mwana wa Daudi, acha kupotosha watu we jamaa.familia zao kumsheherekea Issa bin Maram au Yesu kama wakristo wanavyyomuita.
Usirushe mawe kama unaishi nyumba ya vioo, watakutukania mtume wakoIssa bin Mariam ni mhuni flani hivi wala siyo Yesu Kristo mwana wa Daudi, acha kupotosha watu we jamaa.
Kunasiku nami nasafir kulikuwa na msafara gari kama nne aisee Ile Prado ilivhomoka tair moja la mbele kitu kizuri haikupinduka na haikuwa barabara yenye gari nyingkwa hizo prado ni kweli ....mimi mwenyewe nimeshuhudia 2 zikiwa zimechomoka Tairi la mbele ...hadi nikaziogopa hizo gari...!
Kwanza zina tabia ya kujipiga mtamakwa hizo prado ni kweli ....mimi mwenyewe nimeshuhudia 2 zikiwa zimechomoka Tairi la mbele ...hadi nikaziogopa hizo gari...!
Kwanza zina tabia ya kujipiga mtama
View attachment 2842479
View attachment 2842477View attachment 2842478
Kuelekea sikuku ya Kuzaliwa Yesu, mkombozi wa wandamu wote, Watu wanasafiri sanna mkoa mmoja kwenda mwengine kujumuika na familia zao kumsheherekea Issa bin Maram au Yesu kama wakristo wanavyyomuita.
.
Ajali nyingi kipindi hiki na hasa watu wanaotoka Dar kwenda mikoani.
Sababu za ajali ni pamoja na :
1. Aina ya gari, mfano Prado Mchagga huwa zinakatika miguu ya mbele hta kama ni mpya, hiyo ni defect toka kiwandani na inaasikitisha mpaka leo TBS wanaruhusu hizo gari kuingia nchini.
2 . Nissan dualis, zimeumbiwa baridi, nyingi zinaungua na madereva unakuta kaweka mziki mnene ndani hasikii wala kujua kinachoendelea.
3.Passo, Ractic na vigari sivivyozidi CC 1000 si kwa safari ndefu, vinapeperushwa na upepo, piston ndogo unakuta dereva wa Passo anata ku -overtake garo ya cc 4000.
4.Unywaji Pombe:- Dereva unakeha usiku na marafiki zako bar, mnaagana saa saba usiku alafu saa 11 alfajiri upo barabarani huku ukijidanganya na malta na kahawa, ndugu utasinzia tu.
5. Kufanya mapenzi kabla ya safari: Kufanya mapenzi kabla ya safari ,wanaita kuagana, unakesha kwa mwanamke unapiga mpaka alfakjiri then kuoga huogi unakamata usukani, uchovu unkubeba unafia ajalini.
6. Kula na kuvimbiwa: Unakula kwa kukomoa chakula, nyama zinahitaji oksijeni kumengenywa, utakula digestion ikianza unasinzia, unalala barabarani.
7. Kushondana kuwahi safari, unachati na wenzako mnaokwenda msohi na kuringishiana mlipofika, unataka uwaki zaidi ya mwenzio, utapata ajali.
8. Kutokujua barabara, mfano maeneo ya msambiazi kuna kona kali na zipo nyingi, kama hujui lazma ujibamize: Eneo lingine hatari ni Same na Hedaru kuna upepo mkali, gari ikipigwa upepo inahama hivyo eneo hili hakikisha unafunga vioo vyote.
9. TRAFFCIK:Hawa ni chanzo cha ajali , wanasimamisha gari popote bila kuzingatia ajjaye nyuma ya mhusika, ndio unagongwa unajifia.
10. Mashimo ya muda mrefu na TANROAD kuyasusa, hapa unakuta unakwepa shimo ukidhani utamuwahi wa upand wa pili unafia hapo. Mnakumbuka yule bibi harusi anaitwa Chao alikufa pale Same na mama yake wakitokea morogoro, walikuwa wanakwepa shimo barabarani wakakutana na gari ya upande wapili.
11. Gari zilizofunga breki za kichina, hakikisha una breki za uhakika, achana na maspea ya Mtaa wa lumumba, kule wanauza famba.
12. Bajaji hasa maeneo ya miji mipya, korogwe, mkata, msata zenyewe zinamadereva hawana leseni na wanajihisi wao ni kiola kitu, jichunge na bajaji, ukiona anakuja kuliko upinduke mbamizie mtaroni ujisalimishe polisi.
MVUA zinazoendelea kunyesha sehemu kubwa nchini zitaendelea kuwa chanzo cha ajali nyingi iwapo madreva hawatakuwa waangalifu na kuzingatia alama za usalama barabarani.
VIFO VYA AJALI BARABARANI
(a) Uendeshaji wa hatari
(b) Uzembe wa dereva=1573
(c) Uzembe wa waendesha baiskeli=205
(d) Uzembe wa waendesha pikipiki=1142
(e) Uzembe wa abiria=6
(f) Mwendokasi=509
(g) Mifugo=13
(h) Kupita gari bila uangalifu(overtake)=265
(i) Uzembe wa waenda kwa miguu=388
(j) Uzembe wa waendesha mikokoteni=7
(k) Ulevi=93
NB: Serikali ipige marufuku hizi Prado zinaaitwa PRADO MCHAGGA
Umeambiwa inafunguka boliti za ball joints kutokana na kuwa ndogo kuliko mzigo zinaoubeba. Bado unabisha bila kutoa hoja kinzani zenye mashiko. Ndio tuseme una mahaba sana na hizo gari mpaka umekosa objectivity?Andiko la hovyo kabisa, yani Prado 2RZ petrol haifai safiria? Shida ni udereva
Na 3RZ ndiyo za mwisho mwisho TX LIMITED nafikiri.Ila ninachojua unapaswa kukata kona ukiwa kwenye mwendo mdogo vinginevyo inanyanyuka upande mmoja.
Hii ni kweli niliwahi paramia Masai na punda zaoUmewasahau wajomba wa pawa tila na trekta zisizo na reflector usiku na alfajiri, pia wazee wa matela ya punda na ng'ombe
Na msimu huu wa kilimo ni kuwa makiniHii ni kweli niliwahi paramia Masai na punda zao